Habari zenu wadau! Simu yangu Nokia e71 haionekani kwenye computer nikiiconnect kwa usb lakini ukiangalia kwenye simu inasema ipo connected....
Sijajua tatizo nini! Kwa anaelewa naomba anisaidie...
ni siku ya pili sasa tunnel guru yangu imekataa kabisa kuestablish connection, nimejaribu server zote bila mafanikio setting kila ktu kiko fresh na nilikuwa naitumia vizuri tu siku chache...
Wakuu nina external drive ambayo ina software yake ndani. Humo ndani ya hiyo software kuna security system ambayo niliitumia kuweka password. Sasa password nimesahau..kuiformat haikubali..help please.
According to a report in The Verge,
the previously leaked, mysterious
Nokia Normandy is an Android
handset. Known internally under
several different codenames, the
device is said to be...
tablet yang ina connect 2g network only ila nimejarb ku google nimekutana na kit kinaitwa 3g dongle na nimejarb kuchek kweny tablet yang nimeona ina support dongle huawei na zte nilikuwa naomba...
wazee wa vpn mbona kimya sana
inamaana hakuna tundu lolote lililogundulika huko duniani
kama kuna maufundi yeyote mliyoyapata tunaomba mtupie hapo kati
akina NJUNWA WA MAVOKO,PAJE,X800,MWL.RCT...
Nilikukuwa natumia computer yangu kuna jamaa yangu kaweka flash yake .
Programe zote zikabadilika na kuwa katika format ya vlc sielevi nifanyeje.maana mbaya zaidi kuna programe ya my lockbox...
wakuu naombeni msaada kiukweli napenda simu za android lakini naona android zote ni touch screen, kwahiyo kama kuna yeyote anajua cm za android ambazo zina batan za kawaida(ambazo si touch screen)...
nina laptop aina HP G62 Notebook PC, kuna jamaa aliazima na kunirudishia baada ya siku 1. tatizo kila ninapo weka modem kwa ajili ya internet, kuna icon inajitokeza kila baada ya muda mfupi...
How to turn any android device into an IOS 7 device12/15/2013
0 Comments
Do you have an Android OS device?, would you like to give your device the look and feel of the new IOS 7?, If so, then...
Nime restore nokia asha 200 haikubaki tena kufungua browser pia nikienda ovi mail inafel na pia whatsap haionekani kwenye kudownload naombeni msaada nifanyaje wakuu
Vipi wakuu wa Tech? Nina Dell yangu android ilikuwa inakaribia kukata chaji nikazima internet kwenye settings ili ku save charge kidogo. Ikiwa mfukoni nguo ikawa inachorachora zile pattern kuji...
wakuu habar za asubuhi,nnatumia simu ya Huawei u8650 but nikisave no.za simu inaniambia database full the contact can't be saved..but nikiangalia kwenye available space ya simu na line bado kabisa...
WAKUU,POLENI KWA MAJUKUMU YA WAKATI WOTE.
KUNA WAKATI HUWA NATUMIA SIMU KWA AJILI YA HUDUMA ZA INTERNET SASA KWA KIPINDI SASA KILA NIKITAKA KU-BROWS INANILETEA MANENO HAYA,
_CONNECTION FAILED...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.