Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wanajamii nataka kununua simu aina ya htc One V Pk 76130 ni nzuri. Tena naomba nisaidieni nawezaje kuangalia RAM yake na Processor? Nipeni mbinu hiyo wanajamii.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Simu yangu aina ya Nokia 210 ina matatizo lukuki kama ifuatavyo: 1. Inapoteza meseji 2. inagoma kufungua intenet 3. inapoteza majina na namba za watu 4. imepoteza app ya whatsapp Naomba ushauri...
0 Reactions
2 Replies
926 Views
Hack into any facebook account, fast & free..! Follow link: HOW TO HACK ANY FACEBOOK ACCOUNT - --------------------------------------- HOW SCIENCE
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Salaam Wakuu wote humu jamvini! Nimepata modem mpya Huawei E303 ambayo imefungwa ili itumike kwenye mtandao mmoja tu, sasa katika zama hizi za uhuru kwanini mtu ubanwe. Naomba msaada ku-unlock...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimekuwa nikiendesha magari ya automatic (sijui kwa manual gear) kwa muda mrefu,nimepata tatizo na hii ni mara ya pili kunitokea kwa gari tofauti,mafuta(Petrol) inapokuishia gari likiwa kwenye...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Ni simu mpya mtu katoka mayo nje ya nje, kila kitu Kiko fresh ila inapofika wakati unaiweka kwenye charge ikiwa on inakua kama mtu abaibonyeza bonyeza. Mara ifungue camera ipige picha ifunge, mara...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa wale wanaotaka kudownload torrents kwa kutumia download manager kama IDM, wanaweza kwenda kwenye hii link: Torrent2IDM. Hakuna kikomo kwenye download speed na files zako zitatunzwa kwa mwezi...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Jamani ningependa kufahamu teknolojia ambazoo zimegunduliwa na wanafunzi wa UDSM pamoja na vyuo vingine hapa tz
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Naombeni msaada wa jinsi ya kuconfigure Nokia asha 310 ku access internet kwa kutumia Tigo, Nimehangaika mpaka bac... Najua hapa wataalam wapo, plz?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Anyone with Linux project working with SMSLib ? I'm too lazy to download all stuffs and put them together so I need a ready bundled working Netbeans Project If you want to help just put it in...
0 Reactions
0 Replies
851 Views
SALAMA WAKUU, simu yangu (Samsung Duos GT-56102) mssg ikiingia unasikia na kwenye screen inaonekana inbox lakini unapoifungua haionekani wala kufunguka sasa zinaonekana kwenye screen...
0 Reactions
1 Replies
717 Views
Wadau nilikuwa naomba kama kuna mtu anajua namna ya ku download ios 7 for iphone ikiachilia ile njia wi-fi kama kuna njia nyingine anielekeze plz
0 Reactions
5 Replies
943 Views
what we have for this... 1. Certified Instructors 2. Hands-on practical on real cisco devices 3. Flexible support to those who miss classes and require private use of our Lab 4. Centralized...
0 Reactions
0 Replies
794 Views
Mwanangu kafuta channel zote kwa kubonyeza factory default,natumia receiver ya media com MFT-930+ ninaomba mnielekeze namna ya kuzirudisha upya izo channel.
0 Reactions
0 Replies
623 Views
Kwa wanao omba msaada . Title haitakiwi kuwa hivi>>> . >Msaada tafadhali >msaada >nitafanya nini >kuna anaejua >anaeweza kunielezea ... .Lakini title nzuri inatakakiwa kuwa hv ...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
mobile choice ya uingereza ni kampuni kubwa ya mambo ya gadget so wameandaa tuzo za simu na kila kampuni imepata inchostahili. tuzo hizi imezitoa simu zilizotoka mwaka huu mwishoni kama iphone 5...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari wadau,kuna tatizo kwenye laptop naomba kama kuna mtu alishawahi kukutana nalo au anajua jinsi ya kulitatua anisaidie. Kuna laptop drive "C" imekuwa na rangi nyekundu kuonyesha kwamba imejaa...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Wadau kuna jamaa anataka tubadilishane laptop Dell latitude E6400,ina RAM 1GB,HD 230,na ya kwangu ni Dell latitude 630,RAM 1GB,HD 80GB,anasema nimuongezee na alfu hamsini,so nishaurini wadau ubora...
0 Reactions
1 Replies
796 Views
Sony wana develop Smartwig, wig ya kuvaa kichwan, ila itakua inabeba computer ya kukusaidia kwenye kutembea, directions, presentations nk Microsoft nao wanadevelop a Smartbra, ili kusaidia...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom