Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Jamani tablet nikiiwasha inaniambia hivo,,msaada please ni tablet ya EUROSTAR
0 Reactions
0 Replies
838 Views
Ni account gani ys cloud ambayo naweza fanya back up ya picha na namba za sim pia nika ifungua kwenye computer yangu ns ku brouse data zangu na kuzi print
0 Reactions
4 Replies
844 Views
Nina galax hiyo hapo juu.. nani anajua theme ambayo ipo simple na imetulia ili ni install
0 Reactions
0 Replies
841 Views
wakuu habari zenu. Hapa nina simu yangu ya NOKIA E72. Ninaangalia YOUTUBE bila shida tena bila kuscrach. Sasa shida ni kwamba nikitaka kuangalia CLOUDS TV online kwa kupitia hi simu naona...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
This thread is for naming the device you are currently using to browse this site. Be it a Smart Phone, Mobile Phone, Tablet, PC, et cetera..Mine is LG-E410. Take a second and write yours down below.
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari za hapa wakuu, naombeni mnielekeze sehemu hapa mjini dar nitakapopata vifaa vya Photo studio kama Lights Softboxes Camera stand Reflectors Flashes Tripods Backdrops and Backdrop stand...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
.tang palpotkea matatzo ya pd nlrud kdogo kwa mabund bt nmegundua ile ktu syo unlmited tena maana nkidownload gb1 tu ktu kshakata haiconnect tena cjui kama wenzangu mnapat tatzo hli
0 Reactions
3 Replies
884 Views
The US Navy is developing technology to make fuel out of seawater – Quartz Kwa wale Wanaosoma PCM sisi wa PGM wanaosomea Uhandisi na watakaokuwa wakemia jamani na sisi tufanye kitu si kila...
0 Reactions
3 Replies
969 Views
NINA PROGRAM YA AUTOCAD 64 BIT je naweza ku install kwenda 32 bit? 0763 434957
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wandugu nina ibm r51 ime lock yaani nimejaribu ku toa cmos batt hadi wk nzima lakini wapi mwisho nkapata jibu kuwa inastore password kwenye eeprom chip litu ambacho nimehangaika nacho hadi basi...
0 Reactions
0 Replies
886 Views
There's some evidence that heat from laptops can interfere with sperm production, and now a new study links the electromagnetic radiation emitted by wi-fi-enabled laptops to sperm damage. For...
1 Reactions
0 Replies
651 Views
Nisaidieni wakuu... simu yangu niki iwasha tu inawaka... baada ya muda mfupi inaanza ku vibrate alafu inajizima na kuendelea ku vibrate na kuandika ujumbe huu USER FAULT, NOT KERNEL PANIC...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani anae fahamu jinsi ya kuflash simu...naomba anipe msaad kuna tatizo kdgo kwangu
0 Reactions
1 Replies
945 Views
Ndugu Mteja, Cheka inabadilika tar 14/12/2013, kuwa na dakika zaidi Voda-Voda na kupungua kwa mitandao mingine.Tafadhali piga *149*01# KESHO kuona mabadiliko. .
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Baada ya kuitumia android yangu, kwa muda sasa, nikaona imekuwa slow, sasa kuna app nimeipata huku juu baada ya ku install sasa naona speed yake imerudi kama kawaida! . Requirements . Android...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Naombeni msaada jinsi ya kuformat usb flash yenye write protection
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Siku hizi nikiweka modem bando ninayonunua ya mwezi 1Gb haimalizi mwezi inakata cjui tatizo. Wakati zamani lilikuwa linabaki. Msaada wenu nahisi kunavitu vinaji update mara nnapoingiza modem
0 Reactions
5 Replies
979 Views
nasumbuliwa na tatizo la cmu kupata joto mpaka nahc italipuka muda wowote,nimebadili betri bdo tatizo liko pale pale,naomb msaada wenu nn tatizo
0 Reactions
2 Replies
733 Views
Habari wadau? napataje drivers za windows 7? kuna desktop hapa ina windows xp proffessional 2002. Nikataka kuweka kaspersky anti virus, ikasema system software ni old. Nikawa nataka...
0 Reactions
2 Replies
851 Views
Unasomeka hivi... "Connection to the DSTV signal could not be established. There seems to be a problem with your installation. Please ensure that the LNB cable from the dish is connected...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Back
Top Bottom