Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nina samsung usb flash 8gb! ila tatzo kubwa ni kuwa ipo kwenye write protection mode! nishajaribu kuondoa write protection mpaka kwa kutumia disk part command ila bado tatzo linaexist! kama kuna...
0 Reactions
1 Replies
974 Views
Welcome to the Cyberoam Web Client Portal! Cyberoam Captive Portal Username Password Click here for User My Account...
0 Reactions
0 Replies
834 Views
Habari Natumia hp G62 laptop na huawei E173 modem mtandao wa airtel shida ni kila nikiconnect hiyo modem ndo kustuck kunaanza, ikiwa disconnected hamna shida kabisa. Naomba ushauri wa utatuzi wa...
0 Reactions
5 Replies
725 Views
nimejaribu kutafuta hii game nimeikossa mwenye link naomba au kama utaweza kulipakia hapa mimi ntalipakuaaaaaaaaa
0 Reactions
12 Replies
9K Views
I need a help on how to write c++ codes that will excute/display 20 lines of stars in a pyramid shape. Thanks in Advance.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Can someone pls tell how to create a control file that will be used to load data in oracle db by using sql loader
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Get unlimited free trials online using a 'real' fake credit card number generated automatically, try it here
0 Reactions
5 Replies
13K Views
NASA's Johnson Space Center has finally unveiled Valkyrie, its "superhero robot" entry to the DARPA Robotics Challenge (DRC) Trials, which take place on December 20 in Florida. Valkyrie will...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wandugu. Nimenunua Dish na king'amuzi cha Dstv na ninatumia kwa wiki sasa. Lakini kuanzia jana, remote yangu ghafra tu ikawa haifanyi kazi. Yaani ukibonnyeza key yyt inawaka taa tu na...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Is this true for the samsung galaxy s4, Burning of the charging Unit and exploding batteries. also you can watch video here Samsung Galaxy S4 Catches on Fire, Samsung wants Silence?! - mobile9
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katika hii video,nimetumia Adobe AE CS5.Effects nilizo apply ni Light Layer,Shatter,Lens Flare na Ramp.Najua mabingwa tupo wengi wa haya mambo so napenda ku-share nanyi mawili matatu.je nimejaribu...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
wakuu nina office yangu ya internet cafe & stationery...ukubwa wa office ni 7m x 5m.. naombeni ushauri wa wapi ntapata aina nzuri ya air condition ninayopaswa kununua kwa ajili ya ofisi yangu na...
0 Reactions
0 Replies
936 Views
Kuuliza sio ujinga jamani ila hii mambo imenitoa kijasho! mwanzon nilikuwa natumia windows 7 na niliweza ku-capture screen yangu simply kwa kubofya Ctrl+PrntScr lakini hii shortcut kwenye wondows...
0 Reactions
4 Replies
940 Views
Naomba kujuzwa sehemu wanapouza accessories za monitor flat screen za aina yoyote hapa dsm
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Huawei mobile broadband E173 MODEL: E173u-1 Msaada jamani nahitaji ku-unlock hii modem niweze kutumia lain zote. NITASHUKURU.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
nataka kuanloack modem yangu model:ZTE K3565-Z
0 Reactions
2 Replies
840 Views
Kwa mtu aliye wahi kutumia flat sreen LED ambayo inapicha clear
0 Reactions
15 Replies
1K Views
wataalam habari za asubuhi,juzi nimenunua humax free hd mpeg4 receiver,na nina dish la futi sita Eurostar,nataka kuipata yahsat ndugu zangu,kuna yeyote aliyewahi kuipata kwa hapa dar?msaada...
0 Reactions
2 Replies
957 Views
Naomba msaada wenu wakuu, nlikuwa nasikiliza muzik katika radio kutoka katika laptop, nkauchomoa wire wa speaker kwa ghafla toka katika laptop sasa kilichojiri ni kuwa speaker za laptop hazitoi...
0 Reactions
0 Replies
867 Views
Wadau naomba msaada siku ya pili sasa simu yangu ya Blackberry Bold 9700 imegoma kuwaka. ina initialize vizuri inapofika kwenye kuwaka inagoma inarudi mwanzo, mwendo ndo umekuwa huo. je niitupe au...
0 Reactions
1 Replies
800 Views
Back
Top Bottom