Siruhusiwi Kutumia Simu Aina ya iPhone Rais Obama
Rais wa Marekani Barack Obama mnamo siku ya Jumatano alikiri kuwa alikatazwa kutotumia simu aina ya iPhone kwa sababu za kiusalama, hii...
Jamani wadau naombeni mnisaidie jambo,Mimi natumia window 8 lakini ninapotaka kuangalia Pc information inakata na kunirudisha mwanzo na baadae nilipogundua nikakuta Product ID not available ndo...
Najua wengi wetu humu tuna pc na storage devices mara nyingi kuna vitu ambavyo tunataka viwe siri yetu peke yetu na mtu mwingine asivione kabisa mfano wa mafaile ni kama nyaraka muhimu, movies 18...
wakuu naomba msaada na ushauri upatikanaji wa toshiba laptop kwa specification zifuatazo.
RAM 4 GB
PROCESSOR not less than 2.4 GhZ
HARD DISK not less than 600 GB
SCREEN SIZE not less than 15...
Ni toshiba C850,3I
Baada ya kuweka window 8pro wireless haifanyi kaz tena naomba nipatiwe ufumbuz.
Kama ni driver nimetafuta pia net had leo zizipati za kuiamsha.
Nilizoea kuconect na wi fi ya...
Hello.
I have a great app idea. I will pay you to develop this app for me. if your an individual or a team.
Description
Android
Smart Phone, 5.5" Phablets, 7.0" -8.9"Tablet and 10" - 10.1"Tablet...
Wakuu kwa takribani week sasa naona speed ya PD proxy inasua sua sana slow vibayaa...nimejaribu kubadili server ila wapiii..nimebadili line nayo bila bila..Tunnel guru nayo hivyo hivyo..je tatizo...
Habar wana JF?
Samahan wakuu natumia laptop aina ya Toshiba satellite C855D - S5303. Tatizo lake kubwa unapoiwasha hailet ile option ya kuboot wala hakuna neno lolote linalotokea zaid ya...
I Got you.......kujaribu teknolojia sio dhambi,kampeni yangu ya u smart smart naendelea nayo,sasa nina smart phone LG G2 ,now i can control my samsung TV , my smart Radio na vingine by using my...
ni simu aina ya T-Mobile my touch 3g android version 2.2.3 tatizo lake kwa sasa Mara kwa mara inastack na ilipofikia sasa ni kujizima na kujiwasha mara kwa Mara Je inatokana na nini na suluhisho...
Habari za muda huu Rafiki zangu.
Naomba msaada wenu jinsi ya kutumia pd proxy, ninasoma threads nyingi kuhusu hiyo progm. lakini sijafahamu kwa uzuri jinsi ya kuitumia.
Natanguliza Shukran kwenu.
Wanajamvi heshima kwenu. Naombeni msaada wenu kuna rafik yangu anataka kuniuzia samsung galaxy note 3 naomben mnielekeze jins ya kujua kama ni original ama copy. By the way ameniomba niinunue...
Ndugu waungwana naomba msaada jinsi ya kufungua local channels kwa kutumia Q11G hapo mwanzo nilikuwa nazipata hapa hapa ninapoipata ds...baada ya kuamishwa nikaenda huko zilikoamia sasa...
​Salute kwenu wadau, Msaada wenu unahitajika sana, Nikiri kwamba sio mtaalam sana wa haya mambo.
Nina blog yangu bado ni mpya kama mwezi hivi baada ya kuifungua, kwa sasa nina experience...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.