Habari wakuu. Naomba kushare mawazo yenu juu ya wazo langu ( UTUNDU ) kuhusiana na umeme mbadala.
( Je, itafanikiwa???? Na pia Nini kitatokea kama nitafanya UTUNDU ufuatao???? )
Nina taa...
Ndugu wana jf naomba msaada wenu simu yangu Nokia X2-01 inajizima sana hasa nikiwa natumia internet je tatizo ni nini?,nifanye nini ili niondoe tatizo?
Tuna unlock Smartphones zote zilizo lockiwa kwa mitandao ya nje ! Nchi yeyote ile at cheap price in town usiibiwe kutoa pesa nyingi bila sababu , kulinganisha na bei ya sehemu nyingine samsung...
Nipo hapa crdb lumumba zaidi ya masaa mawili system inakuwa online ofline.last week pia nilikumbana na kimeo kama hiki,na ata mwezi uliopita.system down ni wimbo uliozoeleka hapa crdb.please...
wadau modem yangu niliiflash na kasoftware lakini sasa nashangaa nikiweka lain yeyote ile hata ile xa kampuni inasema Not found sasa sijui nifanyeje wajameni
Wale wapenzi wa toys kubwa kubwa.......naomba mnieleweshe tofauti kati ya hizo engine tajwa.....na kwa nini watu wengi wapo makini sana kujiepusha na D-4.........na kuifagilia VVT-i.........?
wanandugu,
nahitaji mtu wa kunitengenezea blog maana nataka kuanzisha biashara ndogo ya upigaji wa picha hasa za passport...
nataka niwe naweka picha mbalimbali na some info on this blog.
please...
nimedownload movies kwenye kompyuta na nataka kuzicheza kwenye dvd player ya sony kupitia flash. tatizo hiyo player haichezi mp4 inacheza video clips (nafikiri ndio dvxi) pamoja na VOB. msaada please.
OK..... USHAWAHI FIKILIA UPATE SOFTWARE YENYE FUNCTIONS ZOTE ZILIZO KWENYE HIZO SOFTWARE IN ONE PACKAGE.....HEHE IST I THOUGHT IT WAS A DREAM THEN I REALIZE IT IZ TRUEEE....NO MORE TORENT NO MORE...
'salaam salaam wakuu..................natumai mu-wazima kabisa,nna tatizo limejitokeza kwenye PC yangu nikiiwasha tu inaonesha "BLACK SCREEN" then after few seconds ina-display msg inayosema "Auto...
Kwa wale ambao wanapenda kutumia VPN kwa ku access sites mbalimbali, kuna hii inaitwa Hola, ni bure na ni extension ya Chrome browser. Nimeijaribu, inafanya kazi na ni nzuri. Unaweza kuipata hapa...
Habari zenu ma GT! Naomba kujuzwa kama naweza pata madhara ikiwa naangalia t.v au nasikiliza radio wakati mvua inanyesha. Naweza kuangalia kama hakuna radi???Naomba nijuzwe hili niendelee na bunge.
Habar zenu wakuu? Mm nasoma computer science mwaka wa kwanza napenda saana kusoma vitu hasa vinavyo husu computer science and related issues concern cimputer, naomba kama kuna mtu ana vitabu vya...
Kila nikifungua tab ya jamiiforums lzm nikutane na warning message kama hii kwenye picha.
Hata niki-cancel nikaendelea kutumia,after sometime ita-stuck kwa muda afu hyo msg ina-pop up tena.
Tatizo...
wakuu kuna kirusi kimeficha mafile yangu ya muhimu niliyokua nimeweka kwenye external...yanaonekana yapo ila yamefichwa....nitumie njia gani niyapate wakuu...msaada tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.