Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Hi, Jamani wanajamvi naombeni msaada kuhusu hii simu ya Samsung Galaxy S4 ,utaigundua vipi kama ni feki ama original?
0 Reactions
15 Replies
3K Views
nina magame kama call of duty 2,pes 2010 n.k zamani yalikuwa yanachezavizuri lakini sasa ukibonyeza ili game lianze kucheza, game halifunguki na hakuna kinachotokea .naombeni msaada wakubwa
0 Reactions
3 Replies
882 Views
husika na heading iwe na specifications hizi.. ram 4 gb hdd 320 nakuendelea iwe mpya tokea kenye box.. maduka yanahitajika zaidi.. Stefano Mtangoo chief-mkwawa C6 na wengine wote..
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Baada ya DPR, kijana mwenye mafanikio makubwa aliyekuwa nyuma ya Silk Road kutiwa nguvuni na polisi, sasa polisi inaelekea wanammulika kwa ukaribu sana backopy kiasi kwamba ametangaza kuifunga BMR...
0 Reactions
51 Replies
5K Views
Eti wakuu OS gani niweke kwenye ka pc kangu? Matumizi yangu ni ya kawaida tu kama vile kuchapa assignments zangu, kudownload vitabu(software), muziki, videos n.k. UBUNTU sijawahi kuitumia so...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Humans landed a manon the moon. Everything seemed possible then. Many years later, with all the technological and scientific advancements,man is still yet to land on mars or any other planet...
0 Reactions
1 Replies
683 Views
Wadau, nataka kununua moja kati ya simu hizo mbili,iphone 5s au blackberry q 10,ipi simu nzuri hasa ukizingatia utunzaji wa chaji,applications kama jf,twitter,instagram etc? Mwenye uzoefu na hizi...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Habar za muda huu waungwana, jaman mm mwenzenu nina tatzo na cm yang hii ya blackberry nayotumia (aina ya curve 8520) nashndwa ku-dowload app nyng ikiwemo hata ya jamiiforum na fb sabab kla...
0 Reactions
6 Replies
978 Views
wadau naomba yeyeto mwenye window 7 anisaidie. nataka kuondoa xp na kurun window 7 lakini hata kama una window 8 usisite kunisaidia
0 Reactions
5 Replies
838 Views
leo naomba niwafumbue macho wale wanao tishia watu kua mutaniletea fb account yangu password kua nyinyi ni hackers halafu mtu mwenyewe programming pia hujui so make sure kwanza unajifunza...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu mwenye ujuzi jinsi ya kurudisha access kwenye local disk D naomba anielekeze. Ningeweza kuiFormat ila kuna vitu/data zangu ambazo nazihitaji. Nikijaribu kuifungua inaleta hii msg...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Najaribu kutengeneza program ambayo itakuwa ina register watu kwa majina mawili, number za simu na kiasi cha pesa kisha inaandika hizo details kwenye document and then later inasoma hiyo document...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wakuu! PC yangu inanisumbua nikichomeka modem na mouse havisomi hadi nichomoe kimojawapo, unakuta kuna ujumbe upande wa kulia kwa chini unasema.. USB can perform faster... ila cha...
0 Reactions
1 Replies
950 Views
nimedownload iDeneb_v1.4_OSx86_ISO nahitaji kuifanyia usb bootable naombeni msaada kwa anayejua....
0 Reactions
3 Replies
1K Views
napenda sana simu za samsung galaxy ingawa uwezo wa kununua sina,gharama kubwa sana tunaishia kwa mkombozi wa wanyonge tecno,huwa naishia kusoma specification zake na kuzikubali...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kampuni ya LG ya Korea Kusini imetoa simu mpya LG G Flex zilizotengenezwa kwa material yanayoziwezesha simu hizo kurudi katika hali yake ya upya, hata baada ya kupata mikwaruzo ya kawaida ambayo...
0 Reactions
34 Replies
8K Views
wiki hii yote phone arena wamekua wakitoa award zao. zipo interested sababu wamejaribu kutoa kwenye maeneo tofauti. 1. best phablets phablet ni simu zenye display zaidi ya inch 5 lakini...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
[*=left]61Comments [*=left]Facebook48 [*=left]Twitter140 [*=left]Pinterest0 [*=left] [*=left]More [*=left] Could the Galaxy S5 offer a major display update over its predecessor? (Credit...
0 Reactions
1 Replies
623 Views
A recent report by the AV-Test Institute, found that 66 percent of affected Windows systems are victims of malware that took advantage of exploits found in Adobe Reader, Adobe Flash, and Java. In...
0 Reactions
1 Replies
679 Views
Nimenunua nokia 808 lakini haiplay online videos,pili kila ninapo download operamini inagoma kuwa suported. Naomba msaada wenu jamani.
0 Reactions
3 Replies
820 Views
Back
Top Bottom