salaam wakuu,
nimeanza juzi kuicheza hii game ya top 11 ila nimetokea kuikubali sana. Its a soccer game ambayo unacheza kama manager though ni simulation only lakini you can play league with...
Jaman natanguliza shukrani kwa msaada, plz kama kuna mtu anajua ufumbuzi wa hili tatizo...maana ninachaji siku nzima lakini inaambulia kujaa 11% nkichaji via computer ndo kidogo inafika 42% na...
Wadau naitaji msaada wenu nilikuwa nimeweka cmu yangu mfukoni na nikiwa bize na mishemishe ya hapa na pale ghafla nakuja kuitoa kujaribu kupiga picha. Naona camera haipo clear vision nachokiona ni...
Habari zenu wanajamvi na ma-technicians wa JF?. Ninaombeni mnisaidie. "Nitapata wapi ISO ya Windows 8.1 Pro pamoja na istallation keys?" Nitangulize shukrani kwa yeyote atakayenipatia msaada.
Nilijaribu kuweka Bluestacks lakini inahitaji 2GB RAM ambayo mashine yangu haina. Sasa naomba kujua kwamba ukishaweka hiyo bluestacks ni nini kingine kinachohitajika au ni kuanza kuweka applications.
Heshima kwenu wadau, naomba mwenye maujuzi anisaidie kuinstall gemu ya mpira(pes) kwenye pc maana nimeinstall lakini nikirun inaniambia niinsert disc. Plz help wadau
Nishindwa kuweka picha ninnapotaka kuposti humu jf hasa ninapotumia simu lkn ninapotumia computer zinakubali mwenye kujua anisaidie kwa sasa natumia samsung note 2
Tatizo la mgawo wa umeme Solar generator hii iko poa sana kwa kuwasha Taa nne pamoja nakuchaji simu zaid ya kumi, Inawaka kwa masaa 8-12 na 2 yrs guarantee Nicheki 0719786098
Wakuu nina samsung galaxy s4,mwanzo nilikua naweza ku exchange vitu kutoka kwenye computer kwenda kwenye Cm au kwenye Cm kwenda kwenye computer,lakini kwa sasa nikichomeka waya wa Usb nashindwa ku...
Rear vs. Side LGs stated reason for moving the volume and On/Off toggle to a rear array under the camera lens is to make it more natural to raise and lower the volume of conversation while...
salaam zenu wana jf, kwa mara ya kwanza jana niliona adv itv ya kampuni ya voda ya kitu kinaitwa web box ambayo inakuwezesha kuunganishwa na internet kwa kutumia tv ya kawaida kama screen, naomba...
Najua huwezi Kuamini kuwa haka ni kajisimu nkangu Aina ya Samsung galaxy duos S7562 ambaka kwa sasa nimekaweka kwenye Muonekano wa Iphone/ios7 nafurahia sana muonekano wake...
Niliiupgrade Gingerbread to Jelly bean kwa galaxy ace 2 bt ishu system bado nzitto japo free space ni kubwa na haina progs nyingi,,Waungwana Mnisaidie Ndiyoo,,!!
nimesafiri na kadi yangu ya dstv ili niendelee kutumia kifurushi changu cha premium sasa nimefail kupair ....msaada please
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.