Habari za jioni ya leo...
Naombeni msaada wa kujua majina ya maduka ya Computer (Laptop) jijini Dar es salaam ambayo yana bei cheap (up to 600,000 TShs) kwa laptop mpya.
Asanteni.
jaman kila nikijaribu kuplay uideos online computer inaniambia 'A PLUGIN IS NEEDED TO DISPLY THIS CONTENT.INSTALL PLUGIN,nikijaribu kuistall ikifika mwisho inafeli,natumia DELL ninatakiwa niwe na...
Salamu wakuu! Nimenunua laptop netbook ina operating system ya android jelly bean. Nilipohitaji kutumia modem nimegundua haisupport external 3g (dongles) na ina rj45 na wi-fi.
Naomba ushauri...
Jamani humu jf naona kuna members wameweka avatar ambayo ni video clip, kama za sekunde mbili au tatu hivi. Naomba nielekezwe steps za kufuata ili kuweka, mimi najua tuu kuweka ya still picture
I was going through android apps when this app- mosquito repellent caught my eyes. It was like a joke. So for curiosity purposes, I decided to install it. The app produces various sounds which are...
Kati ya China, Urusi, Marekani na Israel, na wengine bila kusahau North Korea. Ni nani wadhani wako mbele katika sayansi yao ya kisilaha?
Binafsi, nadhani China wameendelea sana kuliko wengine...
Naomba wenye uzoefu na haya magari wanisaidie ni gari ipi iko comfortable na operating/running cost ipo chini ukiachilia mbali matumizi ya mafuta. Magari ni kati ya Toyota Land cruiser Prado...
msaada jamani..kuna jamaa angu alishika simu yangu akawa anataka ku unlock ili aitumie,na mie nli lock kwa kutumia pattern sasa inavoonesha alikosea mara nyingi kwa sasa inataka kulog in kwa gmail...
Wakuu naomba msaada jinsi ya kutatua tatizo la game kukataa kufunguka sababu ya tatizo linalotokana na Directx.
Nikijaribu kufungua battlefield 4 au need for speed rivals napata msg hii
Natumia...
Ransom Cryptolocker
.
.
Huyu ni malware anayefanya data incryptions katika files kwenye PC yako, na hivyo hutaweza kuzi assess, mpaka utakapo provide keys mara pindi utakapolipa $300 kupitia...
Habari zenu waungwana nimenuua simu aina ya HUAWEI Model HUAWEI Y300-0100 Naipenda sana lakini inatumia laini moja tu nayo ni tigo sasa nataka munisaidie ili ifunguke na itumie laini zote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.