Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu kichwa kinajieleza kwa wanaojua naomba mnifahamishe. Nawasilisha!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamii Kuna kitu bado kinanishangaza:confused: kwenye hizi tecno smartphone Kwasabab najaribu ku-root tecno l3 naona kama inagoma hivi wakati nafuata njia zote za kufanya rooting...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Mara nyingi watangazaji wa redio kwenye vipindi vinavyotoa nafasi kwa wasikilizaji wanawasisitiza wapiga simu kukaa mbali na redio au kupunguza sauti kama sio kuzima redio kabisa. Kuna sababu gani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
msaada jamani
0 Reactions
5 Replies
899 Views
Hi Guys, Nahitaji desktop cpu yenye specification zifuatazo RAM: 1GB or more HDD: 250GB or more Processor: Preferably dual core it should be in good condition. send me a private message if you...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
mm sina utaalamu sana na haya mambo ila hapa wacha nijaribu kuweka hii link then if nyieni kazi tuweze ku hack internet linki hii...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
I have my laptop that have got problem. the power circuitry is dead and now it cannot power up at all. I need expert who can check it and possibly fix it. machine is HP Probook 4510 update...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau naomba kuwasilisha mada tajwa hapo juu naomba kujuzwa vizuri tofauti kati ya simu hizi mbili technically na si ushabiki
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Hey folks! who's the "jembest" among the above giants??
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu naombeni mnisaidie web ambayo naweza kudownload VGA ( video graphic adpter) inayorun kwenye OS zote . Nimeinstal OS lakini imenizingua VGA Natanguliza shukrani sana
0 Reactions
0 Replies
566 Views
Makosa 5 wanayoyafanya wamiliki wa Website na jinsi ya kuyaepuka Katika dunia ya leo, kuwa na website ya kampuni au biashara si kitu cha anasa na pia si kitu cha hiyari bali ni cha lazima kwa...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kwa anaejua ubora wa simu za tecno N7 au phantom smartphones kwa anaezifahamu au aliewahi kutumia
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wapenzi wa GTA wafurahie kujua kuwa GTA V itakuwa madukani kuanzia kesho. nimepata fursa ya kuicheza na hata kama mie sio mpenzi wa GTA, nimekubali sana hii V. GTA V itakuwa out on PS3 na XBOX...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
samahanini kwa usumbufu naomben mnisaidie tovuti nzuri ya kujisomea baadhi ya notice hasa za secondary
0 Reactions
2 Replies
2K Views
naomba maujuzi kwamba!,hivi hizi program za android zatumika pia ktk komputa kama tunavyozitumia ktk smartphone,ipad na tablets zingine???. kuuliza si ujinga
0 Reactions
1 Replies
856 Views
Habari zenu wakuu.Nilikuwa nauliza kwa yeyote mwenye maujanja ya kuisimamisha last seen ya whatsapp isi fanye kazi .nimejaribu ku google na kupata application tofauti tofauti sijafanikiwa.
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Wakuu samahani nahtaji msaada. Nataka kununua smartphone nzuri na ya bei ya kati kuanzia laki 3 na nusu mpaka laki 5. Ni aina gani nzuri na ya kisasa ambayo itakuwa na teknolojia nyingi na za...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Naomba msaada, IDEOS imejifunga, nimesahau password ya google accounting , imeandika Emergence call only ,nifanyeje kutoa lock ? @ chief Mkwawa na wengine
0 Reactions
2 Replies
661 Views
Msaada ms office inagoma installation...almost 85% inagoma bila error code yeyote.. ms office 2013, 2010 na 2007 kwa mwenye msaada..ni windows 8 x64 bit.:disapointed:
0 Reactions
0 Replies
597 Views
Back
Top Bottom