Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Kichwa cha habari kinajieleza, nina PC yangu win7 ipo kwa sebule wakati mwingine napenda kuwa gheto na simu yangu ningependa kutumia wifi kutoka kwenye Pc yangu
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu heshima zenu. Tafadhal kama kuna yeyote mwenye setup ya hili game MOTORACER LA 1997 baadh ya picha zake nimeziweka kwenye attachment hapa, last tym lilikua liko free online lakini naona...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu Naomba kama mtu anaweza kunitatulia hili kwani ipo slo sana sababu nili update na microsoft nilipowasha mara ya pili ikaniambia nimelost password lakini nimeirecovery ipo slow msaaada Wakuu...
0 Reactions
1 Replies
658 Views
Angalia password zilizohifadhiwa Kwenye Browser mara unapologin Je huwa unasave password zako kwenye browser kama vile Chrome, Firefox, Internet Explorer, Opera na nyinginezo unapologin ...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ntapataje decoder ya azsky nipo mkoa wa kagera,na je huku zinafanyakazi?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
STEP: Open the folder >rename >hold alt & type 0160 or 255 >enter Done
0 Reactions
20 Replies
2K Views
wakuu mwenye uzoefu na memory card za n73 nokia nitazipata kwa bei gan? Capacity yeyote
0 Reactions
2 Replies
600 Views
Mamember! Leo Nimejikuta niko posta zote kuzianua mpaka uwe na K3 unusu!
0 Reactions
0 Replies
922 Views
habar za sahiz wan jm nilikuwa naomb kujua jins ya kununua skype credit
0 Reactions
2 Replies
742 Views
Tovuti kadhaa za taasisi kubwa kubwa na blog chache zinazopendwa hapa bongo zinatumia Joomla! toleo la 1.5 . . Sasa toelo hii a jooomla! lilikuwa likisappotiwa kwa muda mrefu matatizzo ya...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Salaam, Natumia simu aina ya HTC desire ( Android Version 2.2.2 Baseband Version 32.49.00.32U_5.11.05.27 KERNEL vERSION 2.6.32.15-GF5A401c Build number 2.29.207.4 CL 345089 release key Software...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hi, nina website ya kampuni yangu ilitengenezwa kwa kutumia word press, nataka mtu/kampuni nitakayo inia nayo mkataba wa mwaka mmoja wa maintenance. Nakataka nipate mikataba miwili: 1. Mkataba wa...
0 Reactions
1 Replies
945 Views
Wanajamvi habari ya j2.Naomba mnisaidie kwan toka jana mke wangu kaniambia tv haionyeshi kitu ni sauti pekee!Sasa leo naona tatizo liko palepale na nikafikir labda ni tv yangu tu?Nimejaribu na tv...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakuu polen na majukum hivi zantel bronze wamepandisha au leo nimeweka 4000 kwenye modem nikijiunga inakataa je tatizo liko wapi nawakilisha
0 Reactions
0 Replies
978 Views
nipo tabata natafuta fundi wa kunifungia dishi la futi sita katika satellite ya badr au Nilesat nahitaji fundi wa uhakika kwani kuna fundi wa awali ameshindwa nipo dar
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wana jf naombeni msaada hii simu ina sd card 8gb lakini ninapodownload application hata mb 50 tu naambiwa ?'low memory". Na kweli inakuwa slow kikwelikweli hadi ninapoziondoa simu inarudi ktk hali...
0 Reactions
48 Replies
6K Views
hii laptop ukiwasha tu inasema uweke pasword sa hizo pasword mi sizijui kuna m2 nlimpa kaleta ipo ivo nimejaribu kutoa hdd,ram,cmos battery wap msaada wenu jamani nifanyaje?
0 Reactions
1 Replies
701 Views
jaman nilikuwa nataks ninunue moja yapo kat ya hz mbili je bei zao zikoje na ipi ni nzuri
0 Reactions
14 Replies
2K Views
MAMBOZ.... KAMA WEWE NI DOWLOAD JUNK MPENDA KUDOWNLOAD MAVIE NA MASOFTWARES BASI HII HAPA NJIA ........ Kwa kurahisisha kuna video hapa imeuploadiwa kwenye channel ya youtube Asha Fatuma -...
8 Reactions
19 Replies
3K Views
Nina Galaxy ACE 2 yenye Android 2.3 iko slow sana hvyo mwenye kujua namna ya kuiupgrade anisaidie kaka yenu na Mungu atambariki sana,,,,,,
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom