A friend needs some softwares/movies or whatever and you dont have an external drive. You have forgotten important documents in your computer and you want to access/print them instantly, and many...
Habari za majukumu wana jukwaa
Leo hii nilikuwa nanua kakifaa fln online bila kutumia PayPal i.e kwa kutumia Card no. security code,na Jina la mwenye kadi bila kusahau Expiration dei ya card...
Kwa sasa hivi Avast Software wametoa Avast Internet Security 2014 beta 2. Beta ikimaanisha iko kwenye majaribio, Sasa swali ni kwamba watu wengi tumezoea kutumia softwares ambazo ni free na wakati...
Kaka habari ,na2mai umzma hebu nitoe tongotongo kwa hili NINI TOFAUT YA simu ambayo ni clone na original manake nimepitia uzi mmoja humu nikaona m2 akidadavua kwamba kuna clone na orgnal m...
Get your free fax number linked to your e-mail address now
Missing faxes, busy fax lines, no confidentiality and malfunctioning fax machines
Does this sound familiar?
Yes Then try our...
Saluti wakuu wa JF wote!
Kuuliza si ujinga naomba kujuzwa kuhusu ulimwengu wa simu za mkononi aina anuai. Mara kwa mara ninasikia kuna kundi ANDROID na mengine...
Itapendeza ukinijuza kwa picha...
Katika security, za nokia Aina hii,
ntazungumzia keypad hand guard,
yaani lock ya kawaida, hawa jamaa walifanya kosa ambalo mpaka sasa security code za simu hz n weak,
JARIBU KUFANYA HIVI...
BBM hiyo itakuwa na uwezo wa Chat, Group Chat, na kutuma files.
Feature ya Video na Voice calls ambazo zipo BB10 zitakuja baadae.
Utaratibu wa PIN utatumika kama kawaida.
Itasupport Android 4.X...
Wana JF kwa anaye fahamu jinsi ya kuinstall IDM Yenye hacking key please anitumie hayo maujanja coz imenisumbua kwa muda mrefu xana.Natunguliza kwanza shukrani:nod:
Jamani naomba mnisaidie.
Nina Mini PC.
Kwa bahati mbaya mtoto aliimwagia soda ya Fanta, pale kwenye keyboard. nilichelewa kutoa betri mpaka jioni tangu saa 7 mchana.
Na hata tulipotoa betri na...
Kama mada inavyojieleza hapo juu ndugu zangu,hasa wanajua juu specification za hii simu na ubora wake,na kwa wale waliokwisha nunua naomba mnipe description juu ya utendaji kazi...
kama ni m2miaji wa Nokia E5, E71, N71, N73, na nyingnezo
kuna apps, za kuwa nazo makini sana, apps kama
x-plore ambayo hu show RAM drives, na SYSTEM FOLDER, ambayo ina include PRIVATE...
Wakuu kwa anayefahamu mbinu hii anijuze na pia kama kuna program ambayo inaweza kulifanya hili basi naombeni!
Hii naona ni mbinu itakayosaidia highest internet speed...
Watalamu wangu buroo wenu anatatizwa na hii k2,,Nataka piga window inagoma coz imechezewa kwny bios setup na kupigwa password na aliyeniuzia yuko nje ya inji cna mawacliano tena,,plz wachawi wa...
Wadau....
GURU internet LEO wametoa tolea jipya la guru, version 2.2 linalotumia latest version ya open VPN , hivyo inafanya kazi kwa mitando yote muhimu,( siitaji majina) sasa haina haja ya...
BBM IS COMING TO ANDROID AND iPHONEBlackBerry has announced that BBM is coming to iOS on September 22nd and to Android on September 21st.
Thats right BBM fans the iconic mobile social network...
Baada ya OVI na appstore je ipo local platform inayowawezesha Tanzania developers kuuza apps with local content hapa nchini na wanunuzi kulipia kupitia mpesa?
Like clockwork, Apple has just released the long anticipated iOS 7 software update. Packed with innovative new features and rocking the controversial Jony Ive-approved user interface...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.