Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari. Tokea swala la kila kampuni kuanza kutengeneza wanazoziita smartphone (kwa upeo wangu mdogo ningesema mwanzilishi akiwa apple, ktk iphone 2007) ambazo nyingi zao ni touch screen with few...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Heshima mbele wakuu, nnahitaji print kazi yangu hapa, lakin katika setup zangu kwenye kipengengele cha Header/Footer inagoma kupokea character zaidi ya 250, wakati kuna kazi hapa ina character...
0 Reactions
0 Replies
865 Views
Nimekwenda ofisi za Airtel pamoja na line yangu kukatwa imegoma ku operate 3G, simu naweza kupiga na kupokea, wakajaribu badala ya 3G kuweka EDGE lakini lakini ikagoma, nimeenda Tigo wao wameweka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Elon Musk reveals his Hyperloop concept, vowing LA-to-San Fran travel in 30 minutesBy Justin Hyde Managing Editor, Yahoo! Autos Posts Website Email By Justin Hyde | Motoramic – 8 hours ago...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Msaada, Kwa yeyote anaejua procedures za ku root tecno d3 naomba anisaidie.
0 Reactions
0 Replies
860 Views
habari za miangaiko wakuu? Nauliza chuo gani kinatoa mafunzo ya utengenezaji wa simu za mkononi especially smartphone's (hardware & software), napenda sana kupata ufahamu wa hii kitu kwa faida yangu.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
habar,naombeni kujua nini maana ya kujailbreak device hasa simu na nini faida yake? plzzzzz
0 Reactions
6 Replies
1K Views
- Press window key + r, to open run command and write Notepad -Then copy and paste the following code X50!P%@AP [4\PZX54(P^)7CC)7}$EICAR-STANDARD-ANTIVIRUS-TEST-FILE!$H+H* -Then press CTRL + S to...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baada ya kukamilisha mafundisho ya Joomla, nimekuwa nikipokea barua pepe nyingi sana toka kwa watu ambao wamekuwa wakiniuliza juu ya template gani bora, kiendelezo gani bora na mengineyo. Ingawa...
1 Reactions
2 Replies
782 Views
Wazee mimi natumia jamii forums app(adroid). Natumia kwenye simu ya Samsung galaxy S4. Ila muda mwingi sana huwa napata hiyo error hapo juu. Nikipata hiyo error website ya JF ina hang kwa muda...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wanduggu msaada jamani nifanyeje TECNO N3 Internal storage iko full hadi inakuwa nzito bt Memory Card free space 7.5 GB, ,,, nifanyeje baadhi ya progs/data zihamie kweny Memory card,!!??? msaada...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Heshima mbele wakuu, natumaini muwazima. Wakuu natamani na napenda kuwa mahiri katika hii issue, lakini ndio ivyo elimu yangu hairuhusu kwa sababu nimeishia kidato cha nne na nipo kwenye field...
0 Reactions
1 Replies
885 Views
Kampuni ya BlackBerry ipo hoi, huenda ikauzwa Shirika la habari la Reuters limeripoti siku ya Jumatatu ya wiki hii kuwa iliyowahi kuwa ya kwanza kabisa kutoa simu za kisasa 'smart phones' na...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Wadau nimejaribu kufungua website ya OUT na avast anti virus imeblock na kuniarifu kuwa imezuia Trojan virus. Kama kuna mdau atusaidie na nilifanikiwa kuifungua kwa kutumia ubuntu ila baadae...
0 Reactions
1 Replies
849 Views
Habarini ndugu wana jamvi, Mimi nina line yangu ua voda kuna mtu amenihulk na ana uwezo wa kusoma txt zangu za putbox ninazotuma kwa watu na watu wanazo nitumia(inbox) msaada ndugu niwezo kutoka...
0 Reactions
20 Replies
13K Views
Wow! Curiosity Rover Captures 2 Mars Moons Together In Stunning NASA Video Like Dislike Edit content preferences Done Mike Wall...
0 Reactions
0 Replies
613 Views
katika pitapita zangu kwenye http://www.gsmarena.com nimekutana na screen protections kama 1- Corning Gorilla Glass 2- Scratch-resistant glass na pia brand kubwa kama iPhone, HTC, Asus...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
How to use windows 7 without activation or windows 7 free activation If you don't have windows key or don't wan to buy it than Windows 7 free activation or using it without activation is...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
A new Linux ‪Trojan‬, on sale now in underground cybercrime communities, threatens the usual malware-free lifestyle of ‪Linux‬ users. 'Hand of Thief' can steal information...
0 Reactions
5 Replies
904 Views
wakati microsoft wanatengeneza kinetic watu wengi waliiponda na kuiona ni useless na kwamba haitafanikiwa. kinetic ni aina ya sensor inatumika kwenye xbox one na pia imekua integrated kwenye...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom