Nachukua nafasi hii kuwapongeza Voda kwa kuboresha INTERNET yao.
Japo wamepandisha gharama, Lakini sijuti kutoa 500/= kwa kujiunga na WAJANJA NIGHT OFFER.
Internet ipo kasi sana, na haijam jam...
habar zenu wakuu kama kuna mtu anajua kuchonga line mwenyewe anifundishe kwa sabab yangu imepotea nataka ninunue nyngne alaf niichonge mwenyewe nasikia inawezekana
wataalam wa haya masuala naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia naomba anisaidie password zangu za email ya gmail zimebadilishwa na mtu hata cmjui alaf nikitaka ku restore p.word namba...
Wakuu habari zenu..
Naomba msaada wakurudisha Touch view to wapsite view maana nimebonyeza Touch hapo juu pembeni ya Logout naona haitaki kurudi kawaida baada ya kubonyeza wapsite chini.
Naomba...
Ndugu wana Jf huku kwetu wizi wa simu umekithiri sana juzi niliibiwa Nokia C3,nime jichanga nime nunua Nokia X2-01,kama mjuavyo kinga ni bora kuliko tiba naomba msaada Ndugu zangu kama kuna...
Ninatumia samsung galaxy s3 lte, hivi hii sim haina Fm radio au mimi ndo sijui inapatikana wapi?? Naomba mnisaidie majibu wanaoifahamu vizuri hii sim..
wakuu nimeiona trailer ya gta somalia siku nyingi you tube kama kweli rock star watashusha huo mzigo 2014 ni idea nzuri sana.hawa watu wanaweza aisee kwangu mimi ni the best kwenye mission games...
Wakuu nilikuwa naomba msaada wenu nina flush disk ambayo nikiichomeka kwenye compyuter ili niitumie kwanza inanipa message hii 'you need to format the disk before you can use it?
Nikikubali...
wakuu naomba mnisaidie nashindwa kucopy kitu kwenye flash yangu si picah wala video inaniambia `THE FILE HAS A PROPERTIES THAT CANT BE COPIED TO NEW LOCATION` mwenye kujua tafadhali nini...
Wadau kwa mwenye notes za video za office application(microsoft wod,excel,powerpoint na access 2007) pamoja na Adobe products na coral drawing anisaidie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.