Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Mimi ninatumia microsoft office 2007. Ninataka nianze page na Roman numerals mfano i,ii,iii... halafu page zitakazofuata zianze na namba za kawaida tu mfano 1,2,3....kwenye document moja. Mwenye...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wa kuu? nilikuwa nauliza kama kuna uwezekano wa ku-connect modem mbili za huawei @ the same time? najua hii kitu inawezekana kwa ZTE na Huawei ... Hii ya 2 huawei modems nimejaribu...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Hi wadau wote JF! naomba ushauri ni simu gani nzuri naweza nunu dukani ambayo ina spidi kubwa ya intanet , camera nzuri na inayoweza kuwa software programes nyingi na inatunza chaji. zenye bei ya...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Want your Program aired by Zuku TV? Here is what you need Zuku is our consumer facing brand that reflects a new, fresh and innovative range of products and services targeting the...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nlikuwa nikitumia Connectify Dispatch genuine Copy yapata miaka saivi. Lakini nlipokuja kuweka Pdproxy VPN kwenye pc yangu kukawepo na Ukinzani. Pdproxy ikakataa ku-connect hadi nlipo-uninstall...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna umuhimu gani wa ku Update Bios ya Desktop Computer?kila Mara ninaletewa Alert ni Update Bos ninaogopa ku Update niafanye kitu gani mnacho nishauri? Je ni Ki Upadte Bios kutakuwa namadhara...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Jaman mimi sio mgeni saana ila kiukweli kuna mambo siyajui humu.. 1.Ikiwa nimetoa thread yangu na member wakachangia ni jins gan nitaiona tena hyo thread ili nijibizane na member? 2. Ikiwa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
wadau naomba anayeweza kunipatia link ya kudownload superpro design kama tajwa hapo juu ahsanteni sana
0 Reactions
1 Replies
663 Views
Ndg wadau wa jukwaa hili, naomba mwenye kuniwezesha kupata betry hiyo anisaidie. Laptop ni hp (Q)Model pesario CQ 61.. SHUKRANI SANA.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu,gari yangu ni aina ya Nissan X-Trail 4wd Automatic Transmission. Baada yakufanya service, kumwaga Gear box Oil, gari limekuwa na shida sana katikakubadilisha gia hasa kutoka number 2 kwenda...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia matangazo ya kazi sehemu mbalimbali Tanzania, lengo langu kubwa halikuwa kwa ajili ya kutafuta kazi, bali nilitaka kujua uelekeo wa ajira kwa nchi yetu ya...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Naombeni msaada nina blog yangu nimefungua kama wiki mbili zimepita sasa nikajiunga na google adsense sasa katika blog yangu kuna article nimepost kwa lugha ya kiswahili sasa hawa jama wamenigomea...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu naombeni link ya kudownload tamthilia ya cobra squad ile ya kenya,iliyokuwa ikirushwa na kituo cha ntv.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari!! Naomba kwa mwenye elimu au ujuzi njinsi ya kudownload movies au series kwenye you tube anifahamishe tafadhali. Natanguliza shukrani Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna siku niliona bandiko humu JF likisema wanaotaka kupakua facebook na kutumia vyema kwenye Android kirahisi iliwekwa link (kiambatanisho) nami sikujali kwakuwa wakati huo nilikuwa natumia...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
siku hizi camera za simu ndio kila kitu watu wameacha kununua digital camera za kawaida na watu wanatumia camera za simu kila wakati. ni vigumu kujua uzuri wa camera ya simu hadi upate maelekezo...
6 Reactions
25 Replies
8K Views
hello wandugu naomba kujua gharama za kuhost website
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Wakuu nimenunua compyuta mpya sina anti virus nafanyaje kuweka anti virus? nitashukuru
0 Reactions
18 Replies
3K Views
galaxy s3 inauzwa haipo kwa box ila kila kitu chake kipo........ni 680000 tu.....0712720080.Haina tatizo lolote......
0 Reactions
0 Replies
944 Views
Back
Top Bottom