Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
modem za line moja najua zinapatikana ktk maduka ya mitandao husika,kama vodashop,zantel shop nk...sasa hizi universal zinapatikana ktk maduka aina gani? na bei zake zikoje?
0 Reactions
15 Replies
3K Views
WAJUZI naomba mnijuze kuhusu hii kitu sijaielewa kabisa CC chief-mkwawa NingaR fadhil paulo C6 ndetichia Mr Kicheko
1 Reactions
6 Replies
1K Views
wanajamvi naomba msaada wa kufuta window katika PC yangu kwani kuna mtu ameinstall bila kufomat
0 Reactions
2 Replies
3K Views
My mum was an English teacher back in Nigeria and I learnt early enough from when she graded students scripts that spelling errors were good enough reasons to fail your English test or exam...
0 Reactions
0 Replies
886 Views
habarini wapendwa katika kupractise vitu ninavyo visoma kuhusu web design nikajaribu kutengeneza forum inayohusiana na mambo ya technology kwa kutumia wapka (wapsite builder) na kufanikiwa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Jul 02 2013 Mozilla Announces First Firefox OS Phones Mozilla announced the first two smartphones based on its operating system, Firefox OS on Monday: the ZTE Open and Alcatel One Touch...
0 Reactions
2 Replies
727 Views
Jamani kwa we ye Ku UA tujuzane ni kiwango/kiasi gani cha pressure/upepo kinatakiwa kujazwa kwa matairi ya magari, mfano kwa kakorola kangu kenye tairi saizi 14, tueleweshane wandugu
0 Reactions
5 Replies
4K Views
wakuu heb nisaidien ni program zp nzur kwa computer za ku edit photo ambazo zina uwezo wa ku change background msaada tafahali
0 Reactions
2 Replies
2K Views
NDUGU,niaje aisee naomba Mnisaidie njia na steps za ku unlock hii moderm,coz inatumia laini ya zantel tu na huku nilipo sasa hivi mbinga-songea hakuna network ya zantel ila kuna airtel,voda na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nimejaribu instalation kwa kutumia cd imefail.internet nimefail naombeni msaada friends
0 Reactions
1 Replies
732 Views
Habar waungwana. Ninapata shida ya kuchagua VPN Madhubuti kwa Speed na yenye Service and easy Setup, Nimejaribu kupitia kati ya Hizi hapa lakini kila Mmoja anajiona yuko juu ya mwenzie...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wakuu natumia tecno p3 na nina memory card ya 8gb but NaletewA hii msg. MsaadA kwa mwe nye kujua
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwenyekujua link ya kudownload GTA 5 tofauti na Torrent anisaidie tafadhari
0 Reactions
1 Replies
810 Views
Wakuu naomba msaada ..simu yangu hata mwaka haijafika .samsung galaxy advance original si mchina Imezimika hafla kuwaka inawaka na ukipiga simu inaita na fresh tu but kioo hakioneshi..kitu .yaani...
0 Reactions
0 Replies
876 Views
wakuu heb nisaidien ni program zp nzur kwa computer za ku edit photo ambazo zina uwezo wa ku change background msaada tafahali
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Shida yangu ni jinsi ya kuondoa password kwenye Pc (Dell,latitude:630) ni bios password kwani nimejaribu kutoa cmos but haikutoka,naombeni msaada wenu.
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimenunua Tecno P3 mda c mrefu lakini nikiingiza lain yangu ya voda inakua haisomeki nini tatzo jamani? :help::help::help:
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wanasayansi wa maabara ya Bristol Robotics Uingereza wamegundua njia ya kutumia mkojo kama chanzo cha kuzalisha umeme wa kuchaji betri za simu, na kudai kuwa wa kwanza kutengeneza “the world’s...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wakuu? nina hiyo simu lkn sijaweza ku root km Wengine naona wanavyofanya.je kuna mjanja yeyote anayeweza kunipa soln yake? shukrani kwako
0 Reactions
0 Replies
549 Views
Hii simu nimenunua jana,tokea niweke line ya tigo nimekuwa nikitumiwa sms iko hivi "CH(50): TIGO PESA *150*01#"Hadi sasa zimeingia sms zaidi ya 150,nimechoka kabisa.Nimewapigia tigo wanasema...
0 Reactions
37 Replies
6K Views
Back
Top Bottom