heshima kwenu wakuu naomba mnisaidie nimeweka dvd kwenye mlango wa dvd rom (laptop) naitoa sasa hivi haikubali naomba mnisaidie nifanye nini niweze kuitoa,nimejaribu kwenda my computer kuitoa...
This image is courtesy of Google, like everything in my life. (Courtesy of Google / Google)
Dear Google,
What, what, what are you doing?
Look at your life. Look at your choices. Look at your...
habari wadau naomba mwenye link au website ambayo naweza pata application ya ku rootia tecno P3 anisaidie kwa sababu nimetafuta google bila mafanikio asanteni
Wakuu leo yapata mwezi tangu nilipoibiwa Ipad yangu aina ya Micromax P560,jana mchana nikaipata kutoka kwa mwizi wangu lakini kutoka na mazingira ambayo nilimkuta kule Mbande-Machimbo,akiwa amekaa...
2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900 3G Network HSDPA 850 / 900 / 1900 / 2100 SIM Micro-SIM Announced 2012, May Status Available. Released 2012, May BODY Dimensions 136.6 x 70.6 x 8.6 mm (5.38 x...
Wakuu,
api
Naombeni msaada , nakereka sana na hii cm galax note, yaani charge aikai, na mara nyingine nikiwanayo, inanipa message kwamba battery temperature iko juu wakati haiopo kwenye charge...
Wana jf ni wapi naweza kufanya printing and binding ya lesson plan kwa bei poa, format ninayo kwenye softcopy, stationery za kawaida gharama ni kubwa. Nipo dar
Nawasilisha
Habari zenu wakuu,
Nina HTC Desire inanipa error message ya kutokusoma sim card japo hapo kabla ilikuwa inafanya kazi vizuri, nimejaribu sim cards za kampuni mbili tofauti za simu lakini tatizo...
Wakuu nimepata tatizo katika mashine yangu, ni dell N5040.
imekuwa ina delay ku respond Unapo click au kufanya chochote, hii inatokana na HDD ku run %100 muda wote. hii imekuja baada ya ku...
Hallo,
New Samsung Galaxy Note 10.1 available for xchange with a new Samsung Galaxy S4.
If you are Interested please just PM me.
Its Specs:
»Improted From USA
»Quad Core...
Wale fans wa Photoshop (Wanaojifunza, Experts au wanaokuwa impressed na kazi za photoshop) tuchangie ideas hapa.
Kama unaswali, una tip au kuna picha umeedit,waweza changia hapa na wadau wengine...
Nina pc ya dell inspirion. Sasa imenizengua nikiwasha inanionesha mistari mingiii mno kwenye display na pia inaniandkia ( windows error) cha kuniogopesha zaidii ni kuwa ina kama ki ufa ambacho...
wana jf nimesikia tangazo la voda la simu za promotion za techno B3, zinauzwa 170,000! Nimeingia net nimecheck specs zake ni za kawaida sana, sa najiuliza ni nini kingine cha ajabu kwenye hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.