Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
MY NAME-HAJI RASHID AMANI. DAR-ES-SALAAM IS MY HOME CITY MY PROFILE-MORE THEN 15 YEARS IN COMPUTER SCIENCE STARTED 1998-2013 SINCE THAN I TRANSFORMED MYSELF TO A COMPUTER MAN, NOW I AM SELF...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakuu wenzangu wake mnaotumia TECNO ANDROID PHONES, kama TECNO T1, TECNO N3 na sasa limeingia jembe moja la hatari... TECNO N7, unaweza ku-root simu yako na ku clock up performance ya simu yako...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wana board,ninatumia window 7 ultimate kwenye laptop yangu ambayo ni Dell,lakini cha kushangaza ni kwamba local disk C inaongezeka bila ya kuinstall program yoyote ile na siko online kusema...
0 Reactions
2 Replies
768 Views
Habari za Jion wana forum Laptop ina tatizo moja Nikichomeka adapter inaandika 84% not charging ila nikitoa tu adapter inazima msaada wenu tafadhari
0 Reactions
1 Replies
656 Views
Natafuta sehemu ya kufanya field mwezi wa saba .... Kwa system design and implimentation na programming kwa for both java and android java...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
rand New Samsung atom Mini Laptop,dual core,2.0ghz,2gb ram,320gb hdd,webcam,wifi ntaweza pata hyo kwa sh. ngapi npo dodoma
0 Reactions
2 Replies
800 Views
kuna kipindi tulikua tunazungumzia sana network inayoitwa TZ01 wengine tukawa tunasema ni ya zantel na wengine wakawa wanasema ni ya vodacom. hii network ikikaa inasema roaming as if unatumia...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
na ni ya kuaminika kweli hii huduma? manake matapeli mtandaoni kibao
0 Reactions
3 Replies
834 Views
jamani naomba link wakubwa maana kila nikitafuta hakuna ambayo ipo Activate Asante Jr
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kama nitakua sahihi, kuna mabadiliko yamefanyika hapa jf, kuanzia unapofungua (ku-loggin in) na hata mwonekano wa maandishi. Tangu mabadiliko hayo yafanyike simu yangu aina ya Nokia...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba msaada wa ku reset password local machine windows 7
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau nilikua na data zangu muhimu sana kwenye laptop nikazi cut na ku paste kwenye flash disk sasa bahati mbaya imepotea hiyo flash ninawezaje kuzipata tena ? Nimejaribu system recovery imekataa...
0 Reactions
5 Replies
870 Views
naomba msaada wa frequence za west kwa dish la fut 6,
0 Reactions
0 Replies
526 Views
mbona kwangu chanel za kenya zina zingua au wamebadlisha? naomba msaada
0 Reactions
2 Replies
672 Views
Heshima kwenu wakuu!.. plz naomba kwa mwenye key tajwa hapo juu anisaidie
0 Reactions
20 Replies
2K Views
natumia modem ya huawei e153 ya airtel mkoan mtwara uku na nikwa mda mrefu 3g network ilikua aipatkan sasa yapita siku tatu sasa imeanza patikana hasa kuanzia jion ila sasa nikiconnect siwezi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
"D.O.A. (Death Of Auto-Tun "D.O.A. (Death Of Auto-Tune)" e)"
0 Reactions
3 Replies
979 Views
‪Best Song For Programmers, Coders and Developers - So you code‬‏ - YouTube
2 Reactions
14 Replies
2K Views
wanajamvi ningependa kufahamu kampuni zingine za simu ambazo wanasoftware zinazoweza kuconnect kati ya simu na kompyuta yako na kuweza kutuma sms,kupiga simu au kupokea na mengine mfano nokia...
0 Reactions
3 Replies
872 Views
Smartphone Zaongoza Kwa Mauzo Kwa mara ya kwanza katika historia ya mauzo ya simu, simu aina ya smartphone zimeuzwa nyingi kuliko simu za kawaida kwa mujibu wa taarifa ya wachambuzi na...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Back
Top Bottom