Ninarusha picha kwa kutumia cable sasa nahitaji amplifire yenye nguvu zaidi ya niliyonayo. Au kama kuna njia nyingine naweza kutumia ili kufikisha picha vizuri zaidi.
Natanguliza shukrani.
Wadau pc yangu ilivamiwa na virus ambaye aliathiri program hali iliyopelekea zikawa haziwezi kurun, nilipofanya scanning ilifanikiwa kunasa trojan wawili (2) .
Hata hivyo antvirus imeweza...
habari wadauNatumia game ya ps2,kwa muda nimekuwa nikitumia cd kucheza game,lakini iliposumbua kuna mtu akanipa flash yenye game ya mpira,ambayo nimeitumia kama miezi mitatu nayo imeleta...
natumia HP 630 kuna tatito la kujaa kwa loca disc c, mwanzo kulikuwa na free space 57, lakini ghafla imejaa hadi kufikia free space GB 1, naomba msaada kwa mtu anayejua suluhu la tatizo hili
Habari,
Nauza laptop yangu, iko kwenye hali nzuri kabisa, nina matatizo yamenipata na ninahitaji kuyatatua kwa haraka sana, bado naihitaji laptop yangu ila sina budi, battery yake inakaa na chaji...
Mimi ni mjasiliamali kwa upande wa video shooting. Tatizo langu ni kwamba nime-edit video na baadae kui-burn. Sasa tatizo lake ni kwamba ina-freeze (kuganda), mteja wangu sasa kama vile kitanuka...
Wakuu ninatumia Linux Mint 64bit kwenye HP yenye RAM 4GB na processor 3GHz lakini tatizo ninaloona ni kwamba PC inakuwa inaheat sana.Yaani PC inaonekana kama inafanya kazi ngumu sana hata...
kuna file nataka kurirusha sehemu ila size yake haisupportiwi, wakati wa kuupload inakataa, so nataka kujua km kuna software maharumu kwa kazi hiyo au maujanja fulani tu.
hivi kuna njia yoyote ya kupata conversation ya skype. nlitia OS upya kwa hii PC sasa ile chat imepotea na mechanism ya windows 7 ilikuwa ile chat inatunzwa kwenye temporary directory ndani ya .db...
Hello wanajamvi naomba msaada kwa anayefahamu Frequency za Sattelite Dish likiwa kwenye mtindo kama beseni.
Ukubwa wa Dish ni 6x6 na nipo maeneo ya Old Forest-BOT.
Nina Zuku na Startimes bt...
Wakuu nina mini notebook aina ya eMachine eM350 series amayo nikiwasha indicator yake inawaka kuonyesha kwamba ipo on pia processor fan inazunguka tatizo Display haionyeshi kitu yaani haiwaki...
Nahitaji kuhama toka TTCL mobile broadband kwenda Zantel (2gb kwa Ths 10,000 is very appealing)
TTCL wamelock modem zao (Mobile parter), nataka iwe sim-free, how do i go about?
Bizarre Mars Mountain Possibly Built by Wind, Not WaterBy Mike Wall | SPACE.com 22 hrs ago
Email
Share201
Share6
Print
View PhotoAssociated Press/NASA/JPL-Caltech/MSSS - In this...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.