asalaam aleykum,
nataka kuconfigure computer 3 mbili zitumie window 1 iwe linux nizipe ip address na baadae ni niki ping packet ziende toka pc yoyote.
nimeweza kuping kutoka kwenye linux kwenda...
Shalom Wataalamu. Nimerudi tena kwa matumaini kuwa safari hii huenda nitafanikiwa baada ya kushindwa huko nyuma kwa zaidi ya mara tatu.
Nina Modem ya Vodacom ya Huawei model E220 HSDPA. Shida...
Habar wadau,
tafadhali ningefanikiwa kupata hii crack au key za BUSINESS IN BOX application ninge shukuru saaana... Mzizi mkavu, Young Master, Chief Mkwawa n.k mnahitajika hapa tafadhali..
Naombeni sana wadau mnisaide leo siku ya tatu siwezi kuingia kwenye akaunti yangu ya facebook.Juzi wakati na log in waliniambia akaunti yangu ina tatizo either
Pretend to be someone else
Use a...
Man and His Buddies Build Life-Size Replica of Noahs ArkBy Melissa Knowles
Posts
By Melissa Knowles | Trending Now 13 hrs ago
Email
Share
Share
Print
As Earth Day approaches...
habari wakuu
msaada, nina modem yangu nikiconnect kwenye laptop ina disconnect kila baada ya mda mfupi. Nimejaribu kwa mitandao miwili vodacom na zantel
Natumia windows 7 ultimate, 64bits
Modem...
You Might One Day Be Driving a Car Made With AlgaeBy Bill Weir, Andrew Lampard, David H. Miller and Brad Marxer | This Could Be Big 13 hrs ago
Email
Share
Share3
Print
Scientists at...
Wadau habarini za leo. Kama kuna mdau wa jF humu ana syllabus ya IT ambayo ni official naomba anipatie, mimi nimesoma computer science na nimeanzisha chuo na course ambayo tunafundisha ni...
Naomba kujulishwa jinsi ya kutengeneza licence file ukiwa na serial numbers. Nina avast antivirus 2013 na key zake sasa ili kuiregister inataka niwe na licence file na si key, nifanyeje...
Beware of Password Hacking Scams and Fake Tutorials Well, this post is not about teaching you how to hack! But, it is about making you aware of some of the password hacking scams and fake hacking...
Kuna watu wanasema za memory dard ndo mpango mzima wakati wengine wakidai kwamba za tape ndo zinalead! Ukweli ni upi?Tuzingatie quality ya production za video, bei zao, technology ya sasa, na...
Ndugu wadau wa Jf
Ningependa kufahamu kuhusu software ya aina hiyo kama ipo, Ambayo baada ya kuwa installed in a computer then ukifika muda fulani (Ambao nitakua nimeipangia) Basi Computer...
hi wandugu kama kuna mtu yeyote ana iPhone locked to T Mobile Germany, I can assist him/ her to unlock for free just inbox me ur IMEI
Simple condition is to be out of contract (Older than 2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.