Wana Jamvi, baada ya kusikia Vodacom modem inasifiwa sana, hivi majuzi nikainunua! Tangu ninunune, i've realized kwamba, this's the worst modem i've ever used in my life.....kwa speed, inaachwa...
Hv jaman mbna me cku kama mbil zmepita yan niknunua kifurush wanakomb muda mfupi wanamaliza wakati zaman nilikuwa niknunua 25mb nilikuwa hadi na bakisaha,na huwa c downloda ni kwaajil ya ku surf...
Wakuu, nina Batery kubwa ya gari kama ile ya TREKTA au ya SCANIA, arafu pia nina Laptop yangu. Sasa nataka niitumie hii Laptop kwa kutumia hii Baterry. Je, kuna kifaa cha kuongezea hapo ili...
https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/429141-facebook-home-for-android.html
hii post juzi mkuu @C6, kaweka juzi kuongelea kuhusu Facebook Home. according to fb, hii app...
Ndugu zangu wanajamii, naomba kujuzwa ni ANTIVIRUS ipi ni best kwa phone?
Na ni OFFICE APP ipi ni best kwa phone?
Natumia TECNO N3 (Android).
Nawasilisha!
Watu wanaosadikika kuwa ni wahuni wa kitechnolojia wameonekana kutenda mambo yao katika Official website ya Daddy wa muziki wa rap Tanzania, Proffesa Jay http://www.professorjaytz.com/ ambayo kwa...
Nilikuwa na-download file lenye ukubwa wa GB 6 kwa kutumia uttorent na likaenda mpaka asilimia 63, nika-pause downloading na ku-restart machine kwani niliona kuna network slow down, cha ajabu...
Habari wakuu,
Nina laptop hp 655 & windows 8 genuine. Kuna tatzo kwenye wifi, wlan na network. Wifi hai function probably cz kuna drivers zina miss. Naombeni mnishauri ni wapi ntapata driver zake...
Wakuu nimejaribu kutuma Neno Wap Nokia 6030 kwenda 15300 (vodacom), ila cha ajabu wananiambia watanitumia sms ndiyo inakuwa nitolee hiyo. Nimejaribu kutuma the same text kwenye Nokia E72...
Kwa wenye uzoefu na hilo au wanaojua, mnisaidie tafadhali. Naomba pia link ili niidownload. Nilishadownload app mbili lakini naona haziridhishi utendaji wake.
Asanteni
Katika Pitapita Zangu Leo Asubuhi Nimekuta Kwenye Menu Ya Voda Bado Wameandika Hivi
"Nunua Twitter,Facebook na Wikipidia bando
tsh 100{500MB siku 1} na tsh 1000{3GB siku 30} Nikajaribu kununua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.