Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
list ya channel za digitek
0 Reactions
10 Replies
1K Views
I've been shaking the damnation out some Greatful Dead. Discovered this cool application called Tunebash that permits you to find any maestro, melodies, interface with companions through social...
0 Reactions
3 Replies
777 Views
habar wakuu,natumia simu ya Nokia N73,inafanya kazi vzuri,lakini ninapotaka kutazama video you tube inaandika "define default access point first" mwenye ujuz tafadhali naomba anisaidie.natangulza...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nataka ku unlock samsun galaxy tab 2 10.1 GT-P5100, imenunuliwa belgium na ni kwa matumizi yao tu. Kama yupo ni wapi na sh. Ngapi?
0 Reactions
0 Replies
713 Views
natumia nokia 6300 kila nikijaribu kusave page(kitu chochote) kwakutumia operamini naambiwa 'application access set to not allowed', ivyo nashindwa kusave kitu nachohitaji. Naombeni msaada wenu...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
nitangulize shukrani zangu wadau kwa msaada naomba munisaidie key za windows 8 activater maana sifaidi baadhi ya vitu mpaka ni activate window yangu
0 Reactions
0 Replies
663 Views
Baada ya kuulizia nikaelekezwa kwamb nitume neno ALL kwenda 232 lakini sijafanikiwa chochote..zaid ya kutumia EDGE na GPRS yan ni slow san....... Naomba weny ufaham wa hili wanisaidie tafadhari....
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Naomba wanabodi kunijuza jinsi ya kuweka Audio clip (mfano kuweka mziki wasauti tu,usiokuwa wa video) nimefurukuta awapi!!!!!:biggrin: msaada wako Invisible, Paw na yeyeote mwenye ujuzi huu!!
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Hey, natafuta desktop computer ambayo itakuwa na HDMI output, 500gb and above hard disk,mwenyenayo tuwasiliane! Cha msingi iwe na hdmi output
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamvi nilikuwa natafuta software ambayo naweza ku make call wakati nimeweka line yangu kwenye modem, katika kutafuta nimekuta na hii kitu Beetel connection Manager, Ila kila...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wandugu naombeni msaada ya ku-load files kubwa kubwa mpaka 1GB kwenye net na kuweza kumtumia mtu mfano nje ya nchi na yeye aweze ku-download kirahisi. Je kuna software maalum au nifanyeje? Maana...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nina simu Epress Music 5130c-2,awali nilikuwa naitumia kama modem baada ya muda kama wiki 2 nadhani virus waliingia kwenye simu. Tatizo ni kwamba browser ya kwenye simu imeliwahaipo,media player...
0 Reactions
1 Replies
864 Views
Wadau masaada nimejaribu bila mafanikio jinsi ya ku choose network niki type mtandao siwezi kukonnect, ipo kama inaseach lakini haiconnect tatizo nini?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
you can send email to jskombe@gmail.com whatsApp 0712655402
0 Reactions
0 Replies
800 Views
Habari wana jf, Naomba mwenye kufahamu njia mbadala ya kuangalia ligi ya ulaya na ile ya Uingereza pasipo kutumia DSTV.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani simu yangu nikifungua internet inastaki, nimeenda ofisi za voda wananiambia inabidi niiflash. Nimeenda kwa mafundi wa kuflash wananiambia gharama ni 50000/= ambayo ina karibia na...
0 Reactions
1 Replies
903 Views
Naomba msaada kwa anayejua material za kutengeneza smart card maana nasikia zinapatikana hapa bongo
0 Reactions
0 Replies
963 Views
wakuu,naombeni msaada kwa free uploading site nzuri mnazozijua Pia nataka modem yangu zte mf190 iwe na upload speed nzuri je,settings naweka je? kwa sababu nilikuwa na mu uploadia jamaa kitabu...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Amazon Expands Global App Distribution To Nearly 200 Countries Amazon Media Room: Press Releases Nchi zote supported Aland Islands, Cape Verde, Gabon, Liechtenstein, Panama, SurinameAlbania...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
salaam wana jamii natafuta kama kuna mtu ana samsung galaxy 2.10.1,nilikuwa natafuta hata second hand.hushauri pia unaitajika. asanteni sana
0 Reactions
1 Replies
996 Views
Back
Top Bottom