Microsoft has become the latest US technology company to confirm that it has been targeted by computer hackers.
In a blog post, Microsoft announced that "a small number" of its computers had...
habari wakuu!!baada ya kupata simu ya lg c900 nlihitaji kuinstall apps mbalimbali,nkashindwa na baada ya ku google nikapata info kua mc walishasema kua kama una wp7 hautaweza kutumia marketplace...
naomba msaada kwa anayeweza ku-unlock huawei e960(wifi router from zain) inaingiza line ya airtel peke yake. nataka iwe inaweza kukubali line zote. imei:357195013012981
jamani nikiwa kama developer wa muda mrefu ningependa tujadili vitu kadhaa hapa. Hivi ninavyoviweka ni baadhi tu kwa kuanzia lakini sio limit. Ongeza na punguza upendavyo. Ni nini muelekeo wa fani...
Jamani Tv yangu ni flat screen lcd inch 32 nimetumia muda mfupi tangu niinunue kama miezi mitatu hivi inasumbua. ilianza hivi: nikiiwasha nikawa nasikia sauti tu picha haionekani mpaka baada ya...
Wadau habari zenu kwa ujumla Channel ya Pakistani inaonekana inapatikana hapa Tanzania vizuri beam ndo inavyoonesha lakini nimetafuta mpaka nimebaki hoi ni zaidi ya siku tatu nimeambulia patupu...
Kama topic inavyosema hapo juu, nashindwa kudownload graphic softwares, njia rahisi ni ipi? maana nahitaji kutumuia kufanya mazoezi ya graphics designing. Naombeni msaada, na je kuzinunua dukani...
Wakuu naomba msaada wenu,nimehangaika mnooo kuondoa hii tigo caller tune nimepiga customer care mpaka nimechoka sijapata msaada wowote.anayefahamu jinsi ya kujitoa anisaidie tafadhali.asanteni
Wadau Kuna simu hapa Nataka kununua aina Ni HTC audio Beats But kinachonitia mashaka ni Double Line naomba mnielekeze Kuhusu hii simu je kuna Double na single line Na bei yake dukani ni SH ngapi...
Ndugu zangu naomba msaada wenu,Inshort mimi si mjuzi sana wa kutumia comp,Laptop yangu imekorapt vibaya mno sasa nimeshauriwa nimtafute mtu mwenye Laptop model kama yangu then anisaidie kunipa...
Naomba msaada wenu.
Nahitaji jina na contacts za hawa wanaotoa huduma za kutumia tarakimu zofuatazo 15xxx kwa kutumia simu za mkononi, mfano, unaambiwa tuma neno MOYO kwenda 15559 n.k
Nawatafuta...
I'm among a company of people who love to download their files to desktop as intermediate place. Who does want to make a long journey to C:/users/me/Downloads to fetch files and folders? Many of...
Karata zinaweza kusoma akili yako haya jaribu kucheza. Kabla ya kuche uwe muangalifu wa kuchagua karata yako kisha bonyeza hapo palipo andikwa Here zitafunguka karata unachotakiwa uchague karata...
Namshukuru mola kwa kua sasa mambo ya kimtandao kidogo yamenikolea na kuisaliti analojia. Wapendwa mi natamani sana kuangalia videos youtube, ila tangu niiuze computer yangu sipati tena raha hiyo...
Kuna rafiki zangu wana modem kama ya kwangu(airtel ce 1588) ila wanao wanapojiunga wanapata mb 400 kwa tsh 2500.ila mimi napata mb 150 kwa tsh 2500.nisaidieni maujanja kama yapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.