Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
A rumored standalone Facebook app would broadcast your location to all your Facebook friends whether you are using it or not. Finally, stalking without all the hard work! This week's show is...
0 Reactions
0 Replies
596 Views
ALiyenunua cd original ya fifa 13 pc naombeni cd-key(online pass) yenu
0 Reactions
3 Replies
828 Views
Natumia hii app in i phone .. Kila saa ins staki. Ni mimi tu ama?
0 Reactions
4 Replies
867 Views
Kwa Global Rank ni : 11,373 Kwa Tanzania Rank ni : 7
1 Reactions
1 Replies
944 Views
hivi kuna uwezekano wa kutumia dstv decoder kukuanganisha na internet kama upo ni hatua zipi zinazofuatwa :ranger:
0 Reactions
0 Replies
958 Views
Natumia iPhone 4s na ipo na latest version of its OS ver 6.1 lkn whatsapp nashindwa kuinstall, inataka $0.99. Is there any means of getting it free?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
habari wakuu... Ebwana haka kajisimu kangu ilikuwa ghafla tu camera ya nyuma inagoma kugonga picha... "'ni kwamba ukiclick camera icon inafunguka na kubakisha rangi nyeusi tupu bila lens ya camera...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ndugu wanabodi nashangazwa sana kwa msimamo wa kampuni ya Multichoice ambayo inatoa huduma ya kuonyesha chanel za TV za digitali nchini kwa kupitia DSTV. Kampuni hii haijaonyesha nia au tuseme...
2 Reactions
136 Replies
12K Views
jaman natumaini ni wazima! natumain anayeuliza anahitaji kujua coz hakuna aliyezaliwa anajua mara nyingi huwa natumia sana simu lkn nikitaka ku upload picha huwa inanikatalia na hiki hii wiki...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jamani wandugu ujinga wangu ni huu,na tsh 600000/=nataka kwenda nunua laptop brand new,ila cjui kama ntapata,na kama ntapata au zinapatikana sijui aina gan ndo zinakua nzur..mf...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wataalam ninajileta kwa msaada,natumia sony vaio cr220e,tokea nimeweka window 8,kipengele cha skype na webcme kwa ujumla nime kwama,nipeni maujanja wadau,kama kuna namna ya kuiamsha,nijejarbu ku...
0 Reactions
0 Replies
552 Views
Kati ya nokia n9 na galaxy s3/s2 ninunue ipi? Kwa maana n9 haina apps nyingi kwenye market yake isitoshe nokia wameuza os yao ya meego na galaxy s3/s2 hazikai na charge..wenye ufaham fungukeni
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wadau, tafadhari naomba msaada kwa mtu mwenye visio drawing software unisaidie, au hata kama unaijua website ninayoweza kudownload ninaomba unisaidie, ninaihitaje kwaajili ya kuchorea DFD (data...
0 Reactions
3 Replies
849 Views
Habari zenu wakuu?nilikua ninaomba kwa yeyote anayefamu ni aina gani ya laptop ukinunua mpya huwa ina uwezo wa kukaa na chaji kwa muda mrefu,naombeni ushauri please kwani nimefikilia kununua dell...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu nataka kupata min laptop ya kuweza fanya kazi zangu in mobility zaidi. Mostly natumia gadgets kama Virtual dj, FL Studio na downloading tasks. Nimepata models mbili ni ambazo Acer Aspire One...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu leo Nimefunga Satelite Dish langu la 6" ina receiver ya Mediacom. Naomba mnielekeze jinsi ya kuinstall Free Station za hapa kwetu Tanzania. Hapo nimekwama kabisa!
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu habari ya ijumaa, Tafadhali naombeni mhusike na kichwa cha habari tajwa hapo juu. Kwa kifupi laptop yangu ni mecer Xpression model M74S.Nimehangaika kwa muda mrefu sana kudownload driver...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
wadau galaxy tab nilionayo yenye namba GT-P6201 ambayo inatumia firmware 3.2 android version,hili lilikuwa toleo maalum kwa German,sasa ninapotaka kui-update kies zake zinakuwa hazipo sasa swali...
0 Reactions
0 Replies
630 Views
Mliotaka kuona picha ya king'amuzi kinachofungua kwa line ya simu chanel za dstv hasa zile creem pendwa, ni hiki hapo chini tafuta ukikikipata nunua funga kwako ni bomba.
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Back
Top Bottom