Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Jamani nataka kununua external Disc ya GB 500,naombeni mnijuze ipi ni nzuri na Tsh ngapi?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naona kipato changu kulipia ving'amuzi kinakula sehemu kubwa ya mapato yangu ambayo naweza kujutia siku zijazo ,nikipiga hesabu naona natumia fedha nyingi kwa ''anasa ''ya kulipia ving'amuzi sasa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu?jamani nimerudi tena baada ya kuomba msaada jinsi ya kuchukua hela benki kwa m-pesa,kutokana na maelezo niliyopewa nilitakiwa kupiga *150*03# lakini nimejaribu wananiambia mpaka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Haya wana sayansi wa jf, nina swali langu hapa. Bila shaka mmesha waona wale wadudu ambao hutoa mwanga wa kijani usiku, mwanga huo huwaka na kuzima, hivi ina maana wadudu hawa wana umeme kama sio...
0 Reactions
47 Replies
10K Views
wana jf amani iwe juu yenu. wakuu natumia android dabo line ambayo inayojulikana kwa jina la eastcom, lkn ina muonekano na function sawa na htc, hii cm wametengeneza kina huha,china, na nlipewa...
0 Reactions
2 Replies
917 Views
Wakuu naomba mnisaidie chanel na frequency zake zinazopatikana kwenye ku band. Nina ungo ft 6 na receiva ya mediacom,fund kafanikisha kufunga chanel za cband lkn za ku bado hajawa mzoefu sana...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Nataka kufuta topic yangu lakini sioni sehemu ya kufanya ivo.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana Jf, Naomba msaada wa michango wa mawazo na ushauri kwa wale wenye uzoefu na IT. Ni wapi wana mafunzo mazuri? Ada yake ni kiasi gani kwa ngazi ya Diploma, na chuo ambacho ni kizuri kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
naomba kuelekezwa jinsi ya kuperform hard reset,or kurestore factories kwa cmu yangu,model yake ni HTC TOUCH CRUISE T 4242 09,POCKET PC,os ni windows 6.1 proffesional, pia kama inawezekekana...
0 Reactions
1 Replies
759 Views
Crazy Hack 1 Edit any webpage.. Go to any web page, clear the address bar, and paste this.. javascript:document.body.contentEditable='true'; document.designMode='on'; void0 and hit enter...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nataka kununua external hard disk mpya ya GB 500,nilikuwa nauliza ni aina gani nzuri na inapatikana wapi na Tsh ngapi.
0 Reactions
4 Replies
999 Views
Naomba kujuzwa hivi ule mkongo wa taifa (fibre optic cable) uliishia wapi maana baada ya kupitishwa cable nchi nzima siusikii tena.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Yaan wakati naandka huu uzi tayar nimepata message mbili za tigo niwezeshe......wananichosha sana kufuta ktu kimoja kila saa
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Msaada tafadhali mwenye maujuzi... SIMLOCK block unlock reset KEY. Simu ni Huawei(IDEOS) MODEL: U8150-D yenye IMEI: 355093044372635.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu,ninaomba msaada kwa anayefahamu kama inawezekana kuchukua pesa benk ya crdb kupitia m-pesa au airtel money,anisaidie maelekezo jinsi ya kuchukua yaani nipo kijijini ndani ndani...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau naomba msaada nimepiga picha kwa digital camera nataka kuzi upload kwenye fomu inayokubali picha zisizozidi 30kb nashindwa kuzipunguza zinanizingua.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jaman naomben msaada wa kuattach picha naomben njia au nifanye nini? jaman natumaini ni wazima! natumain anayeuliza anahitaji kujua coz hakuna aliyezaliwa anajua mara nyingi huwa natumia...
0 Reactions
0 Replies
619 Views
Wakuu nina Iphone 3G kila nikiweka kwenye charge hata haichacharge nimesumbuka nayo leo siku ya tatu,Naomba msaada wa kutatua tatizo hili.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za jioni wanajamvi Naomba ushauri juu ya aina ya laptop ya kununua ikiwa nina laki sita mkononi kwa ajili ya laptop. Nimejaribu kuzunguka nikakuta kuna laptop aina ya samsung ambayo ni...
0 Reactions
20 Replies
9K Views
Habari ndugu zangu,nataka kujuzwa kuhusu wapi ntapata obd2 scanner Innova equus 3160b au Elm327 v2.1.nipo Arusha.ushauri kuhusu obd2 scanner nzuri unakaribishwa pia.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom