Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu naomba kuuliza jinsi ambavyo naweza kupata huduma ya internet ya nyumbani ambapo naweza kutumia router yenye WIFI hapo Dar es salaam. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wajameni tutakimbilia wapi sie??? Eti elfu tatu jero kwa siku kumi. Pumba... Zao
0 Reactions
28 Replies
2K Views
NIFANYEJE KUTUMIA 50mb ya TIGO EXTREME KWENYE BLACKBERRY PHONE. NI KWELI HAKUNA NJIA YA KUTUMIA MPAKA NINUNUE BUNDLE YA WIKI AU MWEZI?
0 Reactions
2 Replies
777 Views
Wakuu nina Laptop Toshiba Satelite A70. Natafuta vga driver. Naomba kama kuna mwenye nayo anipatie. Najaribu ku-download lakini tatizo ni connection yangu. Download inakata kabla ya kumaliza...
0 Reactions
3 Replies
870 Views
Mjuzi wa receiver aina ya 'MediaCom' (MFT 910 +NEW), kuna kitu fulani kidogo tu nahitaji kujuzwa.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hi All, Don't forget that tomorrow 12th February, 2013 we are going to have our monthly Mobile Monday Dar es salaam event. The event venue is Sea Cliff (Bahari Vista conference room) and this...
0 Reactions
0 Replies
550 Views
Wakuu natumia file fox kwenye my laptop napata tatizo napotaka ku log in na sipati ujumbe kama nimekosea password au vp technical bench toeni ufafanuzi now nimerudi kwenye phone ambayo nimesha log...
0 Reactions
1 Replies
795 Views
ni app ambayo itakusaidia kupata mp3. xor naona inagoma kufknguka nitaiweka badae! Mp3 Music Downloader Gold - Android Apps on Google Play https:// play.google.com/.../ details?...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Heshima yenu wakuu...natafuta fundi wa gari aina toyota yenye engine tajwa hapo juu...gari inakuwa kama ina miss miss,ina kosa nguvu na inajizima mara kwa mara..so kwa mtu yeyote anayefahamu fundi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
mambo vipi wana jf najua hili ni jukwaa la technology na kila mtu ana haki ya kupost kile kinachomtatiza juu ya technology lakini to be honest misaada imezidi na mingine haina hata haja ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nataka kuistall more application kwenye iPad tablet lakini nashindwa masaada please!
0 Reactions
0 Replies
652 Views
Habari wakuu Leo asubuhi nimeamka kuwasha PC baada ya mda ika freeze ikaleta kinote cha blue kenye maandishi!! Sikuweza kusoma yote haraka maana ilizima gafla!! Yalisema "A problem has been...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Msaada pliiz! Ipi kati ya hizi ina option nzuri! Hasa usomaji na upatikanaji wa vitabu mbalimbali kwa unafuu zaidi! Nimekutana na mawazo yanayofanana kuwa product hizi zinafaa kwa VITABU ila ipi...
0 Reactions
1 Replies
795 Views
msaada jamani kama naweza kupata instagram ktk symbians
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Dijitali TCRA Faida za kuacha analojia na kuhamia dijitali kufuatana na Tume ya mawasiliano Tanzania kama anavyoelezea John Kitime video kwa hisani ya jkitime wa youtube
0 Reactions
0 Replies
948 Views
Wakubwa naombeni msaada wenu kwa yyote mwenye keys za adobe photoshop cs6 na keys za adobe illustrator cs6
0 Reactions
6 Replies
1K Views
download picha za chini chagua moja unayoipenda na uedit utakachopia unaweza kutoa background na kuweka unayopenda ZAWADI:INTERNET BUNDLE 100 MB WANA JF WOOOOTE MNAKARIBISHWA UWE MKONGWE AU...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
wataalamu naomba msaada nimesahau passowd ya tnm nahitaj ku-unlock,hivyo nakosa mawasiliano na hii ndiyo simu nayotumia na ndiyo tegemez..kama kuna njia mbadala mnisaidie
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Fanyeni mpango wazee, inanizingua sana. Shwari lakini?.
0 Reactions
11 Replies
4K Views
baada ya kuhangaika siku mbili mfululizo kupakua windows 8 enterprise evaluation package, nimeinstall na inaniambia nna lesen ya kuitumia kwa siku 90 tu kuanzia leo. wakati nadownload walinambia...
0 Reactions
0 Replies
848 Views
Back
Top Bottom