Hello everyone.
I have few questions about android phones and it's usage here in Tanzania.
1. Roughly, how many people use
2. If you do own one, what app stores do you have access to.
Why...
Wana bodi, tafadhali nijuzeni wapi (kwa hapa Tanzania) nitapata cd (audio & video) kwa ajili ya watoto kujifunza mambo mbalimbali ya kitaaluma ikiwemo lugha ya Kiingereza, masomo ya sayansi n.k...
Jamani naomba msaada wenu. Nina kifaa hicho hapo juu nilikipata kikiwa locked sasa nikanunua unlock codes ambazo nilifanika kukifungua. Baada ya matumizi kama miezi sita hivi imejifunga tena na...
kwa kweli nimetumia mitandao karbun yote.....ila sasa nataka kujarbu sasatel......maana nimechoka kwa manyanyaso hasa toka kwa niliowapenda (VODA NA TIGO) nisaidien jaman!!
Nauliza tu wakuu...
Hivi vingamuzi nya startimes na vinginevyo (ukitoa dstv na zuku na vinginevyo vinavyotumia madishi) hivi vinhamuzi vya kawaida tu, je inawezekana kuunganisha dishi kwenye hivi...
Inauzi sana kuna ma-TV station hapa nchini yapo FTA lakini yanarusha matangazo yao kimagumashi sana!
Kwa nini hamjifunzi kwa wenzenu?
Ni nini shida? Mfano: Channel 10, TBC1, Star TV etc...
Natoa...
Inauzi sana kuna ma-TV station hapa nchini yapo FTA lakini yanarusha matangazo yao kimagumashi sana!
Kwa nini hamjifunzi kwa wenzenu?
Ni nini shida? Mfano: Channel 10, TBC1, Star TV etc...
Natoa...
Wakuu hii mashine nikiiconect kwenye charge inaonesha charging but inastuck kwenye 6% hapo hapo bila kuongezeka hata ukikaa masaa 24. any resolutions plz?
The government has been challenged to speed up the formulation of laws and the Information and Communication Technology (ICT) Policy so as to protect the National ICT Broadband Backbone (NICTBB)...
Wana JF mwenye key za Kaspersky Internet Security 2013 naomba anisaidie, hapa natumia trial ya siku 90. Kama naweza kupata ya mwaka natanguliza shukrani.
nina laptop aina ya dell latitude D820 yenye win 7, ukiiwasha inaleta maandishi DELL, BIOS revision a10 na haiendelei zaidi ya hapo. Naomba msaada wakuu
Salamu kwenu wadau,
Naomba kama kuna mjumbe aliye na details za kutosha jinsi ya kujiunga na huduma ya hawa jamaa ikiwa ni pamoja na bei ya vifaa vyao vyote na subscription fee.
Nao wanaonyesha...
wataalam nisaidie namba za chanel ziruhusu chanel kuhama, hapa kwenye remote control
niki bofya 6 ktk scren inaandika 6 ila haibadili station iliyopo na kuifata statn iliyo ktk namba hiyo...
Kumekuwepo na ongezeko kubwa la vyuo vikuu nchini Tanzania kama ilivyo kwa nchi nyengine duniani.Kilicho wazi kwa Tanzania ni kuwa ongezeko hilo la vyuo vikuu hakujasaidia kutoa wasomi wanaoweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.