Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
msaada please jinsi ya kutibu os iliyocorupt. Natanguza shukrani. Axante.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Natumia piracy copy, naomba mwenye key anisaidie Shukrani.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Sasa kitu cha window 8 kikiwa na touch sreen kishazinduliwa na Microsoft hawa jamaa hata wakizidiwa ujuzi fulani na kampuni zingine lakini bidhaa zao ni poa na bei poa na zinaviwango vya kati so...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari WanaJF, Naomba mtu anayefahamu jinsi ya kupata (subscription) 5 digit number na gharama zake zinakuwaje...? Kama kuna njia kadhaa basi ipi ni bora? #Shukran Sent from my BlackBerry...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa wale wapenzi wa game tafadhali ambaye anaweza kuwa na crack au serial number la game hilo hapo juu(acb )plz naomba anisaidie maana kila ninayopata net inakataa Thanks in advance Yours...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hellow ndogo zangu,.. nihitaji ufumbuzi juu ya suala hili kwa yeyote anaeweza kunisaidia. ni hivi nahitaji kupata camera kubwa ambayo ina uwezo wa kushoot video za music pamoja na film nahitaji...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hellow ndogo zangu,.. nihitaji ufumbuzi juu ya suala hili kwa yeyote anaeweza kunisaidia. ni hivi nahitaji kupata camera kubwa ambayo ina uwezo wa kushoot video za music pamoja na film nahitaji...
0 Reactions
1 Replies
676 Views
wandugu napenda kufahamu bei ya NOKIA N920 kwa hapa Nchini tafadhali wenye kufahamu mnijuze
0 Reactions
0 Replies
974 Views
Habari zenu wana Jf,, kuna tatizo linanisibu, lililoanza mara tu baada ya kupiga windows kwenye mashine yangu.. Tatizo lenyewe ni giza kubwa kwenye display! Naomba mwenye kufahamu ni vipi naweza...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu!! Nina degree ya IT na pia nilijiendeleza kwa kusoma professional course za CCNA na MCP na kufaulu na kupata vyeti na ninaujuz wa kutosha baada ya hapo niliamua kufanya kazi ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu naomba msaada kwa anayefahamu chaneli ya FTA itakayorusha michuano hiyo.
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Jamani naomba msaada kwa anayejua kuunganisha wireless connection kwenye laptop natumia window 7 starter. Nimejaribu kuunganisha kwa njia ya kawaida ila bado imeshindikana. Nawasilisha
0 Reactions
6 Replies
1K Views
The 17 Most Dangerous Places on the Web The scariest sites on the Net? They're not the ones you might suspect. Here's what to watch for and how to stay safe. Those photos of Jessica...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Habar za weekend ba ndug nina modem ya airtel nlipurchase last year dom mwez uliopita ilianza mauza uza ambayo ckuelewa maana yake ni hv. Nikiwa nimekonect intanet inapotea hewani ghafla bila...
1 Reactions
5 Replies
919 Views
Habar wadau,jamani naomba mwenye uwezo anisaidie kunitengenezea LOGO iwe na michoro ya watu au watoto wadogo LOGO iwe na maneno yafuatayo HILSWO KAULI MBIU YAKE NI:Bringing hope to the Society...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Jamani kwa muda kama wiki mbili huwa napata scratch sana kwenye Zuku hasa wakati wa usiku lakini kwa mchana channel zote zinakuwa hazina matatizo ,channels ambazo ukifika usiku signal hupotea ni...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
tv yangu panasonic ya chogo (mchina) imezima ghafa wkt naangalia, inawaka ila kioo hakionyeshi! Wkt inazima iliandika maneno haya mekundu 'open Busy'
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Need help! Can anyone help me? I have a system installed in linux server. with window 7 I can only access the front page of it but unable to log in. only i can access and log in, in window XP and...
0 Reactions
2 Replies
762 Views
Wadau habari zenu kwa ujumla Channel ya Pakistani inaonekana inapatikana hapa Tanzania vizuri beam ndo inavyoonesha lakini nimetafuta mpaka nimebaki hoi ni zaidi ya siku tatu nimeambulia patupu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wakubwa naombeni msaada wa keys za microsoft office 2010
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom