Ni imani yangu kuwa unaikumbuka channel ya e TV ambayo ilikuwa inapatikana katika intelsat at 68 E degree KU,ambapo kwa sasa ni scramble channel,je ni angle ipi inapatikana free??
tatizo na pc yangu ni kwamba inafanya minimization automatically lets say nikiwa .nacheza gemu lolote lile after some seconds linajiminize kwenye taskbar na ukirestore again it will repeat the...
Heshima mbele wadau..
naomba kujuzwa kama ni kweli kuna uwezekano wa ku lock usb port kwenye computer ili mtu anapochomeka flash disk isiitambue mpaka aweke password..
pia jinsi ya ku ficha...
Habari zenu wote? Kuna watu wanauza au kutembeza charger za simu zinazotumia betri ndogo, watu hawa huziuza charger hizi au kwa kuziweka dukani au kuzitembeza kwa minajili ya kuwaondolea usumbufu...
Wadau.Kuna jamaa yangu anataka kuniuzia computer ya mac os x ninataka kuitumia katika mambo ya audio & video editing lakini nimekwenda kuijaribu.imenitoa ushamba kwani ni tofauti kabisa na hizi...
A newly discovered exploit in a technology standard known as universal plug and play (UPnP) is big enough that hackers on the Internet could remotely access and control millions of compatible...
Wakuu natumia TRITEL kama ISP ya 3G yangu. Tatizo ni kwamba nikiweka bundle ya 100MB, inaisha ndani ya masaa 19 tu au chini ya hapo, WITHOUT DOWNLOADING. Mara nyingi nakuwa JF, FB, google au size...
Habarini ndugu zangu! Natumaini mnaendlea vizur na ujenz wa taifa hili! Mimi kilio changu ni hzi terminologies nazokumbana nazo bila kujua nini maana yake na znasaidia nini! Naomben kujuzwa nini...
Reference: Programmers bad habits - Krzysztof Zab?ocki
We evolve and change our habits, probably many times every few years. Your code style changes, your approach to writing code in...
Habarini za mchana wakuu,
iPad yangu imedondoka umbali wa meta moja, haijapasuka kioo
lakini haiwaki tena. Naomba mnijulishe ni wapi naweza kupata fundi wa kunitengenezea au
wapi kwa hapa Dar...
wakuu naamini hapa kutakuwa na mafundi na watu wenye ujuzi na ufaham wa magari swali langu mm kubwa ni ipi tofauti hasa ya gari za d4 na vvti?? kiundani zaidi utendaji wake kazi faida zake na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.