wanabodi habari yenu! mimi ni mgeni kabisa katika haya maswala ya dish naomba mniweke sawa kidogo nina maswali yafuatayo katika huu ulimwengu wa FTA
1 ) what is KU Band na C band ...?
2) Je...
if you want the latest technological news in Tanzania and how to do something for your phone you can visit us today n we gonna help you you can like our facebook page and twitter page
and don...
Habari wadau. Hivi kuna namna ya kufanya zile simu za huawei ascend y200 zinazouzwa kwenye tigo shop zikatumia line nyingine yoyote. Kwa sass wamezi-lock kutumia line zao za tigo pekee. Naomba...
Wana JF
Mini natumia dish la ft 8 yale meusi ya wavu na receiver nayotumia ni HUMAX. Sasa mtoto kachezea remote na settings zimevurugika kabisa kwa sasa hakuna channel yeyote ninayoiona...
Habari za wikiendi wanajf wenzangu baada ya kuleta kwenu tatizo lililoikumba tv yangu aina ya Sony Trintron inch 29 na kupata mawazo ya wadau hapa niliipeleka kwa fundi tatizo likagundulika liko...
Wadau nataka kuanzisha internet cafe dodoma mjini me nipo chuoni sasa nilitaka kujua software gani ya time watcher ambayo itanisaidia nisiibiwe iwe ina count muda kila mtu akiingia ihesabu ili...
Kwa mara nyingine tena napenda kuwataarifu kwambafirst nataka mwenye ujanja wa kufanya wifi ya university iweze kudownload pia iweze kuwa na speed{inaonekana hivi vitu vimekuwa limited ktk hiyo...
Naomba msaada kwa wale wauzaji wa mobile phones, kipato changu ni cha kati hivyo ninajipanga ili mwishoni mwa mwezi niweze kununua simu ya kisasa, nimeona Samsung Galaxy duos ya double line...
Habari zenu wana Jf wote!ni imani yangu wote ni wazima but kama kuna wagonjwa basi poleni na ni imani yangu mta-recover soon!
NAOMBENI PIA MSAADA WENU KUHUSIANA NA torrent sielewi ninini na...
Habari njema kwa wana JF wote leo nimewaletea Ofa Kabambe katika msimu huu wa sikukuu. Nunua Toshiba Laptop na ujipatie Flash Disk ya 2 GB bureeee.
SPECIFICATIONS
Processor: Intel Dual...
Wadau naombeni msaada wa mambo mawili kuhusiana na hizi tigo modem Huawei E173 zenye offer ya 4GB unaponunua, tatizo ni hili ina detect EDGE network tu, ukienda kwenye OPTIONS ubadili network uka...
Opera Software ASA wamefanyia upgrade Opera Mini 7.0 na kuitoa upya ikiwa 7.1.
Kikubwa walichoboresha ni download manager. Wamefanya yafuatayo: Speed ya kudownload imeongezwa kwa kufanya...
Wakuu naomba msaada wa kuaunluck simu yangu ya imejilock baada ya kubonyeza pattern zaidi ya mara tano.na kila nikijaribu inaniomba kuweka gmail account yangu ambayo siikumbuki.leo napokea simu...
Poleni kwa majukumu ndugu zangu. Naomba msaada juu ya jinsi ya kufanya kwani mouse pointer (touch pad) ya Laptop Gateaway imegoma 'kutembea', hivyo kunifanya kushindwa kufanya kazi kwa ajali ya...
Wakuu nina Toshiba laptop napata shida sana na mwanga.Nimejaribu Fn na ile symbol ya mwanga hai respond chochote.Nimeenda kwenye Power option nako sijafanikiwa.Naombeni msaada wenu wakuu.Muda si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.