Heshima wakuu nimenunua laptop toshiba nimejaribu kuweka dvd ikaja meseji kuwa hakuna intallation ya DVD compatible decoder i have to install! Nimejaribu kwenye kikass toret nimeshindwa. Msaada...
Hizi ni chache tu kati ya ninazozikumbuka zimetengenezwa kwa joomla, zikiwa na poor design na zaidi ya mbili kutumia the same theme (japo haikatazwi) lakini ni vizuri kua serious na kua wabunifu...
Nataka nianze kusoma programming but sijui nianze na which language kama python java c obj-c c++ php cobal etc Please i need ur advice nataka nisome tu ili nipate more job opportunities mbele JST...
Hello!
Natumia IBM thinkpad tangu nimepadilisha os inanisumbua sana kwenye drives zake hasa za usb port. Ndugu kama kuna mtu yeyote unjua njia rahisi ya kupata plz plz. Thank nawakilisha.
JOHN MCAFEE
Jeff WiseExclusive: John McAfee Wanted for Murder (Updated)
Antivirus pioneer John McAfee is on the run from murder charges, Belize police say. According to Marco Vidal, head of the...
Wadau naombeni msaada wa kiufundi jamaa kaangusha pc yake aina nimeweka hapo juu imekata display inaonesha mistari tu baaada ya kuiangusha. sasa inaweza kutengenezwa au mpaka display ibadilishwe?
Wadau,
binafsi napata wakati mgumu sana kuupload picha(attachments). Natumia UC BROWSER na OPERAMINI, zote nikijaribu kutumia zinajibu UPLOAD ERRORS.. NAOMBENI MSAADA WENU NATUMIA MOBILE PHONE
Habari wakuu? nimenunua photocopy mashine ya Nashuatec DSM620
tatizo nimeshindwa kujua inatumia Cartridge/Toner namba gapi, hivyo nimeshindwa kuitumia kwa kutokujua namba sahihi ya Toner...
Jaman wana JF naomba msaada nieleweshwe kuhusu matumizi ya viber, sms bure,unapiga simu bure lakini kunakuwa na mwangwi ambapo mtu unaezungumza na anakusikia baada ya sekunde chache tofauti na...
Wana Jf. Kama tujuavyo tarehe 31 Dec is around the corner. Tumekuwa tukiwasikia mamlaka ya Teknolojia na mawasiliano wakitoa vitisho vyao vya kuhama kutoka analojia kwenda digital. Na kwa...
Natumia dishi kupata hizi local channels za hapa tanzania ila tatzo kila ikifika sambili usike picha znaanza kuganda au kukata kabisa nimehangaika ila cjapata mafanikio, tatzo laweza kuwa nini...
Kwenye application yangu kuna part moja inatumia post() method ya xmlhttpRequest object kutuma request kwenda kwa server.
Nikitest katika localhost (eg. http://localhost/mysite/index.aspx)...
Habari za kazi wanafamilia wa jamii forums,nimenunua simu tajwa hapo juu,tatizo ni namna ya kujiunga na internet!msaada wenu ndugu zangu ,najua wengi wenu mantumia simu tajwa hapo juu ku access...
Greyfade Company Ltd is organizing one week training to equip participants with the skills, knowledge and techniques of designing, developing and maintaining good websites without even being...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.