Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Membaz hope mko ok kabisa poleni na Mambo ya NSSF na SSRA ...... I Need to own my fashions blog naombeni msaada wa wapi nianzie....Natanguliza shukrani...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wataalamu!..nataka niwe na backup ya contacts na natumia iphone4..nawezake kufanya hivyo?
0 Reactions
3 Replies
798 Views
mambo vp naomba mwenye link ya movie mpya ya James Bond skyfall 007
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Sorry wakuu. Hapa shuleni nahisi wamefungia baadhi ya websites. Walianza na facebook, ila watu wamepata njia ya kufanya ili kuingiza. Wanatumia secure browser. Yaani oale penye http: **** wana...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Wadau juzi nilisoma tangazo hili hapo juu yalipo matangazo ya dume na bank kwa sasa, naomba mnikumbushe hawa jamaa duka lao liko jengo gani? sikumbuki vzr kama ni kariakoo, au plaza gani posta...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Jambo wote! Napenda kuuliza namna ya creat website?
1 Reactions
7 Replies
2K Views
kwa wale watabe wa xhtml html na php mnisaidie: what follows in here <!DOCTYPE html ....//......//>:Assume your writing a .php file code to be run by browser.CONCEPT:xtml and meta data.thanx
0 Reactions
2 Replies
810 Views
Heshima mbele wadau, Ni mwezi wa 7 sasa tangu ninunue king'amuzi cha startimes, lakini ni mwezi mmoja tu ndo nimeweza kulipia. Gharama zake kweli mi zimenishinda ila kukitumia napenda hivi...
0 Reactions
50 Replies
5K Views
Wakuu nahitaji kununua NOKIA N8,ila kwa bahati mbaya mimi sio mzoefu wa mambo haya. Sasa naomba msaada wa kujua bei yake ikoje hapa bongo pamoja na ubora wake. Msaada tafadhali.
0 Reactions
7 Replies
5K Views
habari ya asubuhi wana jf,nilikua nataka kutoa usb cable kwa pc yangu kutumia ile safe remove of device,sasa nikaclick kitu kingne nika kiremove,kuja kuangalia kwenye my computer kumbe nimeremove...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kila mtu ana jambo jema ambalo JF imememsaidia kwa namna moja ama nyingine.Kwa upande wangu nimefaidika mengi na mtandao huu.Leo narudisha shukrani kwa kuitengeneza video clip ya sekunde 10 ikiwa...
14 Reactions
32 Replies
3K Views
Ninampango wa kununua external harddisc ya 1TB. Naomba kujuzwa ni aina gani inadumu, mf. Sony, transcend n.k
0 Reactions
2 Replies
1K Views
NAomba sana msaada wenu jamani ni vipi ninaweza kusearch nkapata topic ya nyuma maaana nahangaika natafuta IDM hapa yangu imekufa na nkipost kuomba upya watu wataniona mzinguaji maana najua post...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
http://www.google.com/url?q=http://www.angelfire.com/weird2/rollerblader679/annoying.htm&sa=U&ei=rlchUNu4E42LhQer4IHQDA&ved=0CBwQFjAA&usg=AFQjCNF2Uhg_iZI_AQSD7bcC3t4U9R2njg
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nataka kuhamisha namba za simu toka Blackberry Storm II kwenda Samsung Galaxy S. Nitashukuru kupata ushauri wa namna ya kufanikisha zoezi hili.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa dar kuna maduka meni yanayo uza computer mpya/used kwa kariakoo karibu kila mtaa unaduka la computer, kwa yeyote anae fahamu duka linalo uza used computer kwa bei nafuu kuliko yote basi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
New iPhone 4S from uk is for sale, and a used iPhone 4S that is still in good condition ,they are all 32GB,with IOS 5, price negotiable just dial 0752033874! And you can Instagram all the way..
0 Reactions
4 Replies
957 Views
Wakuu habari....na iphone 4 with gevy inashindwa kusoma line,ios 5.0.1,firmware 04.10.01..naombeni msaada
0 Reactions
0 Replies
667 Views
guys nacheki uzinduzi wa windows phone 8 hapa na kuna vitu nanote vipya vinanvyovutia live wallpaper hii ni app unayoiseti kama wallpaper then hio wallapaper inakua live. mfano mimi napenda...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
UPLOADCORE http://www.uploadcore.com/50govf3jo3e4 http://www.uploadcore.com/5oa14sivx8z0
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom