Anatafutwa mtu anayeweza ku-design MOBILE
APPLICATION. Wasiliana kwa namba hii
0715-813505 au atume CV kwenye
honorizi@gmail.com. Kama una uwezo huo nafasi
ya kazi hii hapa..!!!
Wakuu nina nongwa ya ki tech, ambayo maelezo yake ni kama ifuatavyo:
Nilikuwa natumia Win XP ikaleta matatizo ambayo naamini yalitokana na virus kwamba short cut zote zilitoweka kwenye desktop...
simu yangu inaitwa android tu ndefu hivi kama mnazijua sasa sijui wana connect vp net nikijaribu inakataaa na apn nimeweka internet help bila modem au kamaa mnaweza hata na modem njia zote mbili
habar za saiz wadau,ebana naomben mnisaidie,nilikua na install dreamweaver ikagoma cjui kuna app(s) gan zinatakiwa ziwe installed kabla ya ADW(adobe dreamweaver),nimepakua free trial kutoka <a...
jamani msaada naomba kuuliza,
Mimi nipo dunia ya mwisho sina chochote nnachosikia, ila nimesikia kama kuna sim card za airtel znajulikana kama Boom club, ambayo unaweza kuzungumza na mtu kwa 500...
Inakuaje WANAJUKWAA wa Tech, Gadgets & Science Forum?
LEO Katika pitapita zangu, nimeona ni vizuri tukajikumbusha kidogo kuhusu TPB coz SHARING IS CARING!
Ki ukweli tumetoka mbali na bado...
kwa yeyote mwenye uwezo wa kutengeneza spreadsheet kwa ajili ya kucontrol bar or grocery,mfano bia,soda na vinywaji vyote vinavyopatikana tz,kwa kuzingatia standard za hapa bongo
Wadau ninaomba mnisaidie free techniques/softwareS za ku-unlock(kuifungua) hii simu yangu
Manufacturer: HUAWEI
MODEL : U8650
Imefungwa: Tigo Tanzania
Naombeni sana msaada wenu wadau wenzangu...
Kwa wale ambao mliwahi kuangalia Movie ya Tron Leagcy ya mwaka 2010 nadhani mtakuwa mnaikumbuka hii ambayo ilitumika katika hii movie, pikipiki ambayo inajulikana kwa jina maarufu la Tron Light...
Version's of windows 8: Windows 8 x86 Windows 8 N x86 Windows 8 Pro x86 Windows 8 Pro VL x86 Windows 8 Pro N x86 Windows 8 Pro with Media Center x86 Windows 8 Enterprise x86 Windows 8 Enterprise N...
wadau habari zenu. Natumia laptop ya dell atg. Search engine zipo explorer na mozilla. Tatizo la explorer ni kuwa iko slow so muda mwingi natumia mozilla ambayo iko fasta ikiamua. Natumia pia...
When I got a new system it was very good and working smooth as the time passed the system turned to snail. It takes much time then usual then I performed some checks and speed up my system. Just...
Habari za J pili wana JF. Natumia Nokia C5-00. Kuna mtu alikuwa anachezea simu yangu, sijui amegusa wapi akawasha torch ambayo hutumika pia kama flash ya camera. Nimejaribu kuiswitch off...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.