Jamani hii simu haiwaki kabisa yani ukiwasha inaonesha tu mwanga afu inazima ukiweka charger haisomi kabisa, Naombeni msaada wenu ila msije na msaada kama nliopata kwenye hii video kwenye pitapita...
Wandugu!
siku za nyuma kidogo tulikuwa tunapata ile channel inaitwa MSNBC,yaani ile channel ni kiboko kwa mambo yao na vipindi vyao,kwa mtazamo wangu inaweza ikawa inaongoza dunia kwa ubora,Leo...
Removing background from any image can be hard and time consuming, but the purpose can have infinite possibilities. In this Photoshop Tutorial we will discover how it can be done, using lasso...
Habari zenu wanaJF,
Naomba kujua ni jinsi gani unaweza kutuma conversation nzima ya whatsapp(nikimaanisha thread nzima sio message moja moja) kwa mtumiaji mwingine wa whatsapp..
Waungwana nimejaribu mara nyingi ku un-install IDM
lakini nahisi huwa haiondoki moja kwa moja kwani mara tu
ninapo Install tena huwa inaendelea kuonyesha siku zile
zilizobaki kufikia mwisho...
How are you doing wakuu?
The above tittle is concerned, nina some programs ambazo hazikubali kuwa uninstalled kwa njia ya kawaida yaani zina leta uninstallation error!
So, nisaidieni best...
Nahitaji kwa mtu mwenye program inayoweza ku-crack files zilizokuwa protedted na password za .zip or .rar anisaidie
aukama ana password ya Winrar_Pwd_Hacker_v6 program
Jamani wadau
mwenye link ninayoweza kupata wimbo huo wa zaidi ya watu bilioni sita kuiamini afrika aweke hapa jamani tupate kuudownload maana mi nauzimia sana.
Habari zenu wakuu,
Nina mambo mawili hapa:
1. Nina mjomba wangu mmoja hapa dar ana guest house yake ina rooms kama 20 hivi na anataka kufunga simu kila chumba zile zisizo hela (vocha) ili...
Naomba kujuzwa namna ya kubadilisha blog yangu kutoka www.(name).blogspot.com kwenda www.(name)blog.com kama ilivyo kwa blog kama ya mjengwa. inafunguka kwa Mjengwa Blog::Habari,Picha,Matangazo...
wakuu muda mrefu nimeshindwa kupata access ya jf forum karibia mwezi na wiki sasa,vip kuna tatizo gani,nimejaribu mitandao yote ya simu imeshindikana.nikijaribu ina load mud mrefu sana halafu...
hopefull u guys u all doing great this time ua reading this thread,sorry i have this problem of how i can remove WRITE PROTECTION to my flash disk coz it lead to malfunction when am pasting any...
nina laptop ya dell latitude E6420 ambayo inatoa sauti ktk headphones pekee lakini speaker za nje hazitoi
haina warranty, kama kuna anaejua kutatua tatizo hilo naomba anisaidie nifanyeje
niko dsm
INTErnet download manager has not been registered for 30 days trial period is over. tatizo ni kwamba nikianza kuregister inaniambia enter serial number lakini tatizo hizo serial namba ni zipi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.