Wakuu sorry, hivi nakoseaga kusoma ni 4.1mpx au serious 41? Nadhani hii ndio simu yenye camera yenye mpx kubwa kuliko zote ulimwenguni! Mpx 41 mmh.. smartphone nyingi zikijitahidi saaaana zina...
Jamani nimeokota moderm ya zantel lakini ni zile ambazo hazitumii line na sina cdma number ya modern hii vp naweza vp hili niweze kutumia ata kwa kutumia line yangu ya zantel kui recharge
Wadau wa tek Salaaaam
Nimepata challenge moja sasa kabla sijatafuta mtaalam naomba kama kuna mwenye ujuzi anipe maelekezo nijaribu kuyafuata nione kama naweza kurekebisha hili tatizo.
Tatizo...
niaje wakuu? leo nawaletea haka ka software kapo interesting kwa maswala ya security. ni kasoftware kadogo2 kanachofanya kazi ya kuprotect laptop yako kwakuilock screen. kwa wakuu wenye android...
Wanajukwaa nina simu yangu ya Huawei u8650 zile za tigo. Lakini juzi kwa bahati mbaya nikaidondosha ikaland kwenye screen na ikatokea crack upande wakushoto kwenda kulia chini ..na crack yenyewe...
You can increase your computing efficiency and gain more enjoyment out of using your PC by applying some simple computing tips like those listed below. Unless specifically noted, these tips are...
Wanajamvi kwanza kabisa natoa salamu. Nimekuwa nikitumia simu yangu km miezi 9 bila matatizo lkn juzi imepoteza settings zote upande wa phone memory. kwa hiyo siwezi kupata huduma za web...
Habari wadau wa jukwaa la Technologia,kuna jambo ambalo sijalipenda kuhusu mtandao wa tigo kwa sasa.Kutokana na eneo nililopo voda inasumbua nikaamua kujiunga tigo of course kwa muda tu.
Tatizo...
ZoneAlarm, Comodo na ambazo mimi sizijui. Ni ipi iliyo nzuri kwa wale waliokwisha kuzitumia ikiwa ni pamoja na kunasa haraka viruses na pia booting system time. Karibuni jamani tupeane uzoefu
Naomba mwenye kujua program ya ku - compree file kwa kiwango cha juu sana anisaidie. Nataka kutuma file lakini siwezi kuli - upload kwani ni kubwa sana. Majuzi nimeshindwa hata kucompress file la...
wakuu nililipia internet ya vodacom.. Unlimited ile ya elfu 30, nimetumia kwa wiki moja tu naona haifanyi kazi inakataa kuunga toka jana, wakati inatakiwa iishe baada ya mwezi mmoja.
So wadau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.