Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Eti wakuu sana. Hii kitu whatsapp community ni kitu gani. Nimeona tu ni supergroup ambalo unaweza kuadd magroup hadi 50. Na whatsapp wanataka kuweka limit ya watu 1024 kwa group. Maana yake hili...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
NDUGU ZANGU Mimi NI mfanyabiashara WA Nguo SASA Nina WATEJA WANGU wengi NATAKA niwe NAWAPA updates za bidhaa KUPITIA WhatsApp groups nilizozitengeneza, SASA SHIDA inakua moja tu WhatsApp...
2 Reactions
38 Replies
3K Views
Habari...naomba msaada wa kutatua tatizo kwenye CANON 2325i. Inaandika ( Checking the data..... Do not turn OFF the main power. Remaining Time 1 min.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wakuu, Kwa yeyote anayefahamu utaratibu wa kupata VFD/API kutoka tra kwa ajili ya kutoa risiti naomba anijulishe kwa vile nimejaribu kuangalia kwenye tovuti yao sijaona utaratibu...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Wapendwa nna shida earphones haziconnect kwenye iPhone naomba msaada wa utatuzi nifanyeje iliziweze kuconnect...
1 Reactions
15 Replies
688 Views
PC yangu mbona kama umeiwasha unatumia halafu ukaicha kwa muda kidogo ikiwa monitor screen ipo "on" baadae inazima ila mashine inavuma sasa ukirudi ukabonyeza keyboard yoyote ili iwake na...
0 Reactions
4 Replies
852 Views
Angalia maajabu ya Samsung Galaxy S22 Ultra. Kwa teknolojia ya kisasa ya kamera ujue hakuna usiri tena. Unaweza kufanya jambo ukiamini hakuna anaekuona kumbe mtu yuko kilomita kadhaa...
5 Reactions
82 Replies
8K Views
Wanajamii Tech ningependa kujua jinsi ya kuwa software developer kwa kujifunza mwenyewe I mean language (s) course, resources n.k Pia kwa hapa nchini naona community iko ndogo Sana sijui ndo kuwa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za majukumu ni muda sasa nimekuwa nikijihusisha na maswala ya ufundi simu ila upande wa software pekee sasa nahitaji kuingia rasmi kwenye maswala ya hardware nahitaji kujua ni vifaa vipi...
4 Reactions
40 Replies
9K Views
A.Alaykum Kwa kuwasaidia, ikiwa mtu hataki hizi picha za humu ndani zinazotumwa zisiingie Gallery kujaza gallery. Nenda kwenye option juu kwenye jina la group mkono wa kulia, utaona dots 3...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Kumekuwa na katabia fulani ka kusubiri flagship zilizotolewa miaka 2 au 3 nyuma zishuke bei zifikie bei ambayo ni affordable ndipo mtu anunue. Hili linakuja na changomoto kadhaa. Kwa mfano...
3 Reactions
38 Replies
5K Views
NAOMBENI MSAADA WAKUU. Natanguliza shukrani. Habari ya Weekend? Baada ya kutoangalia Movie kwa kipindi kirefu sana Cha miaka mi Tano 5. Weekend hii nimejaribu kutafuta movie na kukwama PAKUBWA...
0 Reactions
8 Replies
705 Views
Habari wakuu, Naomba kusaidiwa imetokea nimefuta chatting zangu zotee za WhatsApp ambazo baadhi zilikuwa na umuhimu sana na nilikuwa nikizitumia kama kumbukumbu incase zikihitajika mfano...
1 Reactions
6 Replies
777 Views
Hii Slot nimeona kwenye TV Yangu Aina ya LG Lakini Hadi Sasa Sijajua Matumizi Yake Wenye Ufahamu ni Slot ya PCMCIA Atupe Muongozo
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nimenunua Infinix smart 6 ya 2/64GB pamoja na kujaribu kufanya settings ili ikae 4G Haikubali ,sijajua nifanyeje ingawaje ndani ya Simu inaonekana inayo 4g kubwa zaidi laini zangu...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Kampuni ya electroniki Sony wako makini sana kwenye bidhaa zao. Japo situmii simu ya Sony kutokana upatikanaji wake lakini ninapenda sana apps zake mbili. Yaani Gallery yake na kicheza musiki...
6 Reactions
83 Replies
9K Views
Wakuu! Nilikua naomba kujua ubora wa hii simu [Nothing phone 1] ukilinganisha na A51
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari wakuu. Kwa android app. Ni alternatives zipi za kuchapisha na kupakua apps?
0 Reactions
4 Replies
475 Views
Poleni na majukumu.. Wadau bila shaka baadhi yenu mnatumia hizi flat screen za Moelectro, naombeni kujuzwa ubora wake.
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Habari wakuu, Naomba msaada wa installation ya windows (10 preferably; ila nikipata nyingine siyo mbaya). Baada ya windows nahitaji drivers zote muhimu. Naweza kukufuata popote ulipo Arusha...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Back
Top Bottom