Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Respect 1st, niliunlock modem ya eyatel na ikawa succeed unlocked, ila nikieka line ingine ikawa inasearch then inatoa text eti modem z not detected by remote computer...nikaamua kuiunstall na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu, samahani naomba msaada kwa mtu anayejua namna ya ku-activate evaluation copy ya windows8 kwani ina-expire baada ya siku 90, hivyo nahofu material yangu yote yatapotea, naomba msaada...
0 Reactions
1 Replies
928 Views
ukitaka ku-enjoy lyf just click here
0 Reactions
0 Replies
766 Views
Nimesahau passwod ya simu yangu ya samsung GT-s3411. Nisaidiane jinsi ya ku-unlock hii simu yangu wakuu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Inategemewa cimu za mkononi zaidi ya 2.5M zitatupwa nje ya matumizi ifikapo saa sita leo uciku.. Hiyo imetokea baada ya serikali ya Kenya kupitia mamlaka ya mawaciliano kuamua kupiga marufuku cimu...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Ndugu zangu naomba mtu yoyote mwenye Reg. Key ya Internet Download Manger anisaidie IDM yangu imeisha mudawake wa siku 30.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari zenu wakuu, mimi ni mteja wa internet katika mitandao mbalimbali tanzania, kasi ya internet imekuwa si nzuri kwa muda mrefu kweli. juzi nilijiunga na kifurushi cha vodacom cha...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Jamani mimi nilichukua line ya Airtel mwezi mmoja na nusu uliopita wakaniambia wameniunga na promo hiyo. Baada ya hapo sikutumia tena line hiyo, sasa leo nimeweka hela nikaanza kutumia lakini...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ndugu waungwana, mimi naomba mnitoe ushamba katika hili,SIMU nyingi zina Dot au hata kama sio Dot basi ni Alama fulani mithili ya dot tofauti na Button zingine kwenye Button namba 5. mfano;Nokia...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Msaada wenu plz inanigomea kwenye google au internet kiujumla nikiklick inasema "the webpage might temporaly down or moved permanently to another web page" msaada wenu plz na pia kuna sehemu ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nimehack modem ya tigo,zantel na airtel ila jaman ttcl wameniweza kama kuna cracker yeyote anipe mauwezo.
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Wadau naomba mnijuze bei (ya kununua) Dstv
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Hi everybody! Nahitaji kutengeneza logo kwa ajili ya kazi yangu. yoyote anjejua kutengeneza nice-looking logo ni PM au nipigie nikupe maelekezo Will pay something on it 0767659145
0 Reactions
15 Replies
2K Views
habari wana jf namba msaada jinsi ya kuondoa monitoring software kwa njia rahisi
1 Reactions
16 Replies
2K Views
habari zenu wadau? Natumia avg free antivirus iko poa kabisa sasa nimepata avg internet security iko poa ila ina shida moja kwamba nikiwa internet baada ya muda flani ina block internet access...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wataalamu, nawasalimuni tafadhali naomba mnieleze hivi kitu ukifuta kinatokea wapi? au kuna program ambayo inatunza vitu vilivyofutwa mpaka kwenye recyle bin ? Tafadhali hilo swali nimejiuliza...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu zanguni. Naomba msaada wa namna nzuri ya kusafisha Laptop. Huwa natumia kitambaa laini, lakini naona kuna michubuko kwenye screen. Naomba wataalamu mnisaidie ili nisiendelee...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada jinsi ya kuiwezesha kimchina changu Android Samsung touch screen, ili niweze kuaccess huduma ya Internet. Natumia mtandao wa Airtel na Tigo.
0 Reactions
4 Replies
966 Views
juzi usiku wakati nabrowse nkashangaa ghafla java runtime inarespond then hapo hapo ika crash halafu program za startup zikajifunga zote including antvirus na kila nikiiopen antvirus inakataa...
2 Reactions
32 Replies
3K Views
Mambo vipi wa kubwa nina tatizo kidogo kuhusu my BB CURVE 9360 nihivi hii simu mwenye amefariki sasa kapewa Mdogo wake atumia sasa tatizo ukiweka Line nyingine tofauti na ile ya Mwanzo inakwambia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom