Nina nokia e90, kila ninapoweka line ya voda, simu haikamati mtandao lakini mitandao ya tigo, airtel na zantel inakamata vizuri tu. Nilijaribu hata kurestore phone setting lakini lain ya voda...
Wanajamvi,
Nimepata netbook Samsung N100 ikiwa na FreeDOS preinstalled, nikataka kuing'oa ili niweke Win 7. Baada ya kujaribu kwa muda bila mafanikio, nikawa na explore baadhi ya DOS commands na...
Habari za majukumu ,nimefanya installation ya programme ya Arc GIS ver 9.2 lakini nimekosa activation key yake .Kama kuna yeyote anaweza kunisaidia nitashukuru.
Nimejaribu kusunguka hapa mjini kwenye maduka kadhaa ya vifaa vya electronics nimekosa kabisa charger please kwa yeyeto anaiweza kupata Panasonic Lumix DMC-TZ10 charger naomba tuwasiliane kwa No...
Brothers one day nilikwambieni abt my Mobile application,Ina uwezo wa kutuma ujumbe kwa watu wengi kupitia kwenye simu za mikononi, unaweza tafuta Company au any Organization ambayo unadhani...
Larry and Brin
Am sure David Filo is still regretting and wishes to go back and change things, maybe we could be having Google Yahoo combined company wright now as the Adobe guys when they...
Habari zenu the great thinkers!
Naombeni nijulishwe kuhusu huu mfumo wa digitali unaokuja na tv zetu!
Nimesikia hizi tv zenye kichogo ndo zitakua zimefikia mwisho wake labda mpaka utumie...
Software tajwa hapo juu naihitaji wakuu kwa ajili ya kukamilishia simulation za FLC (Fuzzy Logic Controller) design ili niendelee hatua ya mbele, nimejaribu kuchimbuka lakini utata bado mkubwa...
Between Ram and processor.Maana nataka kununua laptop sasa nashindwa ni base kwenye kipi kati ya vitu hivyo viwili.Hard disc 500gb naombeni ushauri wenu.
Habari wanajf... naombeni mnisaidie hivi Airtel wa unlimited or limited sms for 1 month za kulipia kama bei iwe chini ya buku 10.... kama ndo unajiungaje na gharama zake zikoje?
Aman iwe juu yenu.
Jamani tafadhali tusaidiane kwa jambo hili:
Nimekuwa nikimkatalia jamaa yangu hapa kwamba huwezi ukakopi secured document lakini yeye akanikatalia kwa kigezo kwamba katika...
habar jf,
Kw anayejua jins ya ku install na kutumia joi air anaisaidie kwan ukifungua ndan ya folder lake kuna ico ya istall na kuna sub folder limeandkw Data ndan yake pia kuna setup ss...
wana jf heshima zenu, tangu jana laptop yangu imezima ghafla na haifungui windows xp, imeshindikana ku reboot upya, kwa wale wajuzi kila ikifikia ile hatua ya recovery console nikijaza chkdsk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.