Wakuu hebu nisaidieni inawezekana vipi kubaini simu fake na kuzitoa kwenye system(hewani)?
Je kama ni hivyo kubaini simu ya wizi si inawezekana pia
Hebu nifafanueli kitalaamu how this work
Samahaniwakuu:
Hivi SAMSUNG GALAXY 10.1 GB 32....na IPAD 2 GB 32 hipi ni bora?
Kati ya hizo 2, nataka kununua mojawapo Je,nichukue hipi?...msaada please!
Ndio wakuu, salaam sana. kwa kifupi kitu ninachotaka kukitoa si kipya saana ila si mbaya kwa wasiofahamu pia kushare nao idea. ni hivi, kuna softwares ambazo ni kama emulator zinazokuwezesha ku...
tuanze na printer kwa wasioijua hichi ni kifaa ambacho hutumika kupresent kitu kilichopo katika electronic form kije katika physical form (softcopy to hardcopy)
Sasa sku hizi kwa wasiojua kuna...
Wadau kwa mtu yeyote ambaye anatumia iphone naomba anijuze kama tanzania kuna line ndogo za iphone, kwa sababu ambazo naona zote ni kubwa.
Je ukinunua iphone na line ndogo hizi unafanyaje?
Kwa...
Wakuu naomba msaada wenu, natumia window Xp kwenye hii desktop...
Kilichotokea...kuna mtu aliingia internet bila protection yeyote na tangu siku hiyo, siwezi kusoma documents zilizo kwenye MS...
Jaman waunguana naomba mnisaidia kama samsung laptop zipo pouwa maana naona zinauzwa kwa bei pouwa(550,000).naomba kujua kama zipo pouwa kwa wale ambao walisha wai kui2ma.kama hazipo pouwa je kuna...
We all know that, Our Laptops are invaluable for getting our much important work done but they are also only as good as their battery life.
Battery Life Cycle
The lifespan of a battery depends...
Nimenunua memory card mpya ya ukubwa wa 4 GB but kila nikitaka kuingiza nyimbo kwa kutumia computer inashindikana na napata ujumbe huu, "THE DISK IS WRITE-PROTECTED, REMOVE THE WRITE-PROTECTION OR...
Jamani ndugu zangu web designer na web master wa hapa Tanzania naomba tujadili juu ya suala la "Website Vulnerabilities" , je chanzo chake kikuu ni nini nadhani tukishajua chanzo itakua rahisi...
Dear IT guys,
Naombeni mnisaidie jinsi ya kutatua hili tatizo.
Password ya kulog in as ''Admin'' nimeisahau maana ni laptop sijaitumia kitambo. OS ni Windows XP. Nimeweza ku-log kama guest mana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.