Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
haya wakuu, can somebody tell me why my fb page ipo tofauti na za kwenu? trick to be shared mkijua :biggrin:
0 Reactions
11 Replies
1K Views
wadau naomba mwenye kujua freq mpya za channel ten coz hii ya mwanzo hawapatikani na nimesikia wamebadilisha
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Mimi nina samsung ch@t 322 ni mpya kabisa na ina 2gb memory card LAKN kila nikidownload inaniambia memory full wakat hamna kitu kwny simu, nifanyaje wana-jf?
0 Reactions
1 Replies
711 Views
Nimejaribu kila ujanja ila kwenye kuplay youtube video imeshindikana, jaman mwenye ujuzi tujuzane maana bila youtube kwangu nakosa vitu vingi sana Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimekua nikibishana na jamaa zangu kuhusu "Smart Phone" kila mtu anadai simu yake ni Smart Phone. Sasa naomba tuelezane ni zipi sifa za Smart Phones?
0 Reactions
38 Replies
7K Views
jamani naombeni msaada wa kusave videos mabzo umeidownload katika website mbalimbali manake naishia kuangalia tu lakini nikitaka kusave nashindwa msaada pliz mwenye kufahamu shukrani...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
While the mobile companies have realized the importance of the mobile audience and use it for generating income through advertising and product auctioning most of the African governments are still...
0 Reactions
1 Replies
900 Views
nipeni maujanja ya ku download movie nikiwa kwa ofisi mana hapa wameweka proxy mwenye maujanja kila kitu unapata isipokua ukitaka kudowload ina restrict mwenye maujanja ayamwage
0 Reactions
1 Replies
786 Views
najaribu kuadd picture kwenye web page yangu napata ugumu, nimeweza kutumia direct link toka kwa photobucket ambapo ndipo nilipo zisave picture zangu huko, tatizo siwezi kuziresize au hata kuisave...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu nina iphone 3GS ambayo ios yake ni 4.1, nimekuwa nikishindwa kuweka program mpya nyingi kwa kuwa nyingi zinahitaji version ya mbele. Naomba kujua hivi nikiupdate mpaka version 5.1 kuna...
0 Reactions
1 Replies
923 Views
  • Closed
ndugu zang hebu nisaidien hii website ya jamiiforum imetengenezwa na tools gan?coz mi najua joomla,wordpress etc.nijuzen jaman wana IT
1 Reactions
23 Replies
2K Views
naaam wakuu, kwa wale wanaotaka kuzijailbreak iphone au ipod zao kuanzia iOS 3.0 mpaka 4.3.2 wanaweza kunipm niwaforwadie hizo softwares. nimeshindwa kuzi archive zote nakuziattach hapa due to...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi nina samsung ch@t 322 ni mpya kabisa na ina 2gb memory card LAKN kila nikidownload inaniambia memory full wakat hamna kitu kwny simu, nifanyaje wana-jf?
0 Reactions
1 Replies
840 Views
wakuu mi ni mgeni humu ndani, naomba msaada wa kupata housing ya simu GT 540, kwani nimetafuta sana bila mafanikio..nawasilisha
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Nmesikia kuna service ya Vodacom internet kwa modem ambapo u pay tshs 30,000/month n then u get unlimited downloads...ni kweli?,if yes vipi kuhusu downloadng speed??
0 Reactions
8 Replies
4K Views
MSAADA WENU TAFADHALI! Natumia HP 620, Windows 7 Ultimate, SP1, 32-bit OS. Ninapotumia modem za ZANTEL, TIGO na AIRTEL/ZAIN (HUAWEI) zinafanya kazi vizuri, lakini ninapotumia modem ya AIRTEL...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Heshima kwenu wakuu, naomba kuuliza hivi unaweza kutumia king'amuzi cha startimes kwa kutumia hizi satelite dish za kawaida kama eurostar yenye LNB ya KU au C- band kwa sisi ambao hatujafikiwa na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kila nikitafuta nazipata ambazo ni ndogo kiasi kwamba baadhi ya mafile nilioelekezwa siyaoni....inasemekana yenyewe ina a kama mb 34 lkn ninazozipata mimi ni ndogo zaidi.....naomba mnisaidie kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bandugu nataka kununua laptop inaitwa lenovo sasa tatizo haina charge cjajua ina ukubwa gani bt bataka kujua kwamba hizi laptop zinaubora au ndoo vile zinasumbua 2. Msaada tafadhali!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarin wana JF naomba untajie Simu ya NOKIA inayofunguka internet faster na ambayo ipo kwenye soko kwa sasa' ORGINAL"
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom