Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
naombeni nishaurin nifanyeje maana nimepandisha window xp sp3 lakini antvirus imegoma kupanda ni kwanini na nifanyeje
0 Reactions
0 Replies
741 Views
Naombeni msaada jaman.my laptop nikiifungua inaanza kusearch window then but haiwaki.ikitaka kuwaka INA restart kusearch window tena.MSAADA JAMAN NIFANYEJE...msaada please!!!msaada please!!!
0 Reactions
20 Replies
6K Views
kwa wale wapenzi wa kuchat, kuna application inaitwa wechat ina features nyingi zaidi ya whatsapp ebu ichekini ni nzuri sana. Kuna mdau aliwahi leta thread kuhusu hiyo app lakini kipindi kile...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
waungwana nina laptop yangu aina ya SONY VAIO VPCEG3BGX/B 14 LED Notebook. Nimeidondosha ikapasuka dsplay. Je naweza ipata wapi dar hii?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
msaada plz.wakati nafanya hard reset ya cm ckutoa memory card sasa inadai password.ntaifunguaje?
0 Reactions
1 Replies
906 Views
Wakubwa wadogo tulio rika kwanza kabisa HESHIMA MBELE. wanajamvi mimi natumia Simu sumsung gt-s5230 tatizo lilipo nikwamba ninapotaka kudownload application inakataa nakuleta ujumbe CONTENT NOT...
0 Reactions
2 Replies
841 Views
Wakuu nisaidieni nikiwa natumia wireless internet kwa muda mrefu laptop yangu inagoma na ukiizima ina shut down for so long in short haizimi kabisa so inabidi kila ikistuck nitumie kile kibutton...
0 Reactions
3 Replies
884 Views
do you think you know how to use Google? no you don't my friend unless if you have take a lesson in Google power search education OFFERED BY GOOGLE THEMSELVES i argue strongly to take the...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
I accidentally installed this music search engine/toolbar/not sure what it is exactly -inaitwa Radiorage . Anyway, when I go to the uninstall section of programs in control panel, the program is...
0 Reactions
0 Replies
908 Views
KUNA KITU MUHIMU NATAKA KUDOWNLOAD ILA SURVEY YAO HII HAPA ShareCash - SurfOffline Keygen & Crack.rar NDO INANIPA SHIDA SIJUI NTAWEZAJE KUIBYPASS
0 Reactions
9 Replies
2K Views
wakuu nina moderm ambayo inaingia line yoyote . Sasa nawaombeni mniambie line gani nzuri ambayo wanatoa huduma ya unlimited internet kwa mwezi? Asanteni sana manake hapa najua wataalamu mpo wengi sana
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wakuu nauza original adaptor ya toshiba inayochukua input ya100-240 V na output ya 15V bei yake nio tsh.30,000 tu kwa anaeitaka ni pm
0 Reactions
0 Replies
886 Views
HaBari wana Jf Tumekua tukitumia mtandao wa kijamii facebook na kuuona ni wa muhimu, Ila facebook imekua na restriction na bureaucracy za kimarekani kwasababu ni made in US. Tuachane na hayo...
1 Reactions
112 Replies
10K Views
Wana JF, nawezaje kuunganisha simu ya kichina na huduma za Internet zitolewazo na mitandao ya simu (Tigo/Voda/Airtel)? Aina ya Mchina wangu ni GEO.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
nikawa naangalia mpira juzi ijumaa,nikaona tv yangu inatoa moshi mkubwa kupitia matundu yake pembeni.nikazima haraka,kufuatilia tatizo nikagundua kwenye transformer tunayotumia, neutral ikawa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
habaor wadau nina mchina nokia fake nikiingia internet inakataa inaishia google nkiingia kwingine inakataa inasema "the document has been moved here" na nina memory card je naweza kwel kuingia...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Wadau kuna mtu anansumbua sana kiukweli nataka nii block namba yake yan akiwa ananipigia au anantumia mesej asinipate kabisa.....nijuzeni jinsi ya kufanya hivyo mana nimejaribu nimeshindwa alaf...
0 Reactions
46 Replies
4K Views
mashine yangu ni hp ina ram 1gb procsa 3 but nikiweka window7 sauti ni tatzo! so naomben msaada wenu wakubwa
0 Reactions
4 Replies
1K Views
  • Closed
Jukwaa hili sio la kuuza au kununua simu, tafadhari tuwe makini kama unataka kuuza simu, vifaa chochote vya electronic au huduma yoyote unayotoa. nenda jukwaa la matangazo madogo madogo ndo mahala...
11 Reactions
9 Replies
4K Views
waungwana naomba msaada kwa mwenye ufahamu juu ya ubora wa hizi receiver za openbox mpeg4 hd. maana nliskia ziko poa na zinakubali mautundu ya kufungua scrambled channels! Naomba taarifa kutoka...
0 Reactions
37 Replies
7K Views
Back
Top Bottom