I have a brand new Dell Optiplex 380 desktop that can't connect on Local Area Connection mode. I've installed and re-installed the provided CDs but still the problem persist. When I use airtel...
Wapendwa katika JF, habari za Muda huu!
Kutpitia JF naomba mwenye ramani ya Nyumba ya kisasa Self Contained designed kwa ajili ya Familia yaani 3 Bedrooms Rooms (1 Room ikiwa ni master Bed room)...
Habari za leo wakuu,nimekuwa nikiziona IPAD 1 IPAD 2 watu wanazitumia sijajua sana zinafanyaje kazi hasa upande wa kupata INTERNET.
Mimi nakaa nje sana na mji na ninataka kununua IPAD huku...
Wadau hebu nisaidieni kwa maana nimeshachoka hawa mafundi wa Zuku kila leo nawaita kurekibisha tatizo la no signal mpaka nimewachoka kwangu Zuku ni kama Tanesco leo nipate signal baada ya dakika...
KITUO CHA UTANGAZAJI CHA ITV, NI LINI KITAOA KINGAMUZI CHAKE? KWANI WANATANGAZA HATIMA YA ANALOG LAKINI HAWATANGAZI NILINI WATATOA KINGAMUZI CHAO.:focus:
Waheshimiwa kwa wale wanaosumbuliwa na mbu nyakati za usiku, kuna habari njema ya kufurahisha ambayo nimeikuta mtandaoni. Jaribu nawe upitie HAPA.
KAMPUNI ya Samsung Tanzania, imezindua...
Hi wandugu, hope mko poa.
Mwenzenu leo siku ya tatu my samsung laptop zile ndogo zile, inachelewa kuwaka! Na ikiwaka haidisplay chochote! Wat cud b the problem? Nifanyeje?
Natanguliza shukrani.
Kwa mara ya mwisho niliwaskia wanasema wanasimika mitambo kwa kila mkoa hiv wamefikia wap na kwa wale waliokwishanunua vin'gamuzi bei gani jama mi nipo iringa.
nimepitia threads zilizopita hum jamvini zinazohusu idm na windows 7 lakini wameshatoa link za kuactivate windows 7 na idm keys kila nikiziweka bado inaniambia muda wake umeisha, msaada wanaJF
Wakubwa nilinyonya setup za hili game na kuweka kwenye flash yangu kutoka kwenye pc ya rafiki yangu. sa tatizo linakuja ninapotaka kuliinstall katika laptop yangu. Kila linapofikisha 76%...
Sitaki kusema mengi ila hii video yenyewe itajieleza. Tanzania tupo nyuma sana kwenye sanaa ya filamu...tuna mengi sana ya kujifunza kwa hawa jamaa hasa kwenye swala motion graphics.
Feel the...
naitaji software ya kuhack facebook alienae anitumie hapa samrichyoungboy20@gmail.com na kama una software au link za kucheki TV online hasahasa mpira
SHUKRANI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.