Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
dah ebwana kuna m2 anayeweza kunisaidia ip address that proxy servers anaye surport facebook and youtube fresh!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
To change that spacing in XP: 1. Right-click a blank space on the desktop and choose Properties. 2. Click the Appearance tab. 3. Click the Advanced button. 4. Select Icon Spacing...
0 Reactions
0 Replies
745 Views
Jamani wakuu naombeni msaada kwani natafuta namba ya simu ya hawa dealers(Foneshack) ila nashindwa kuipata hivyo naomba kwa yeyote yule anayeijua ashare bac nami......Thanx in advance.(Foneshack...
0 Reactions
0 Replies
753 Views
Nauza iPhone 3gs ya 16GB, iko in good condition na ina apps nzuri za kutosha. Bei laki tatu na thelathini.If uko interested pm or call 0717311420.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu eti charger original za laptop zinarenji kwenye sh. Ngapi? Tatizo nililo nalo ni kwamba all of a sudden iyo charger iliacha kuchaji pindi naitmia. Then machine ikazima.. Nikaamua kuiwasha...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
dah hii site ina kazi sana watu washa hac TCU Website
0 Reactions
21 Replies
3K Views
natumia windox xp sp2 ram 1gb, procesor 2.99 sasa nimeweka game la fifa 2011 limegoma kucheza linasema cjafksha viwango, naomba mnisaidie ni game gani ya mpira itafit computer yangu? Ahsanten
0 Reactions
13 Replies
2K Views
East Africa Herald: Telecom firms face fine over unwanted SMS
0 Reactions
0 Replies
629 Views
Habari wanajamii,naombeni msaada mahali ninapoweza kupata motherbody ya hp pavilion entertainment dv5.natanguliza shukrani
0 Reactions
0 Replies
762 Views
Kuna mtu yeyote hapa dar anayeuza iphone 4s yake?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
jaman mi nina ps2 nikiweka cd inasoma mpaka kwenye walpepar inapotokea bac baada ya hapo itaload mpk kesho msaada anayejua cha kufanya
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wanajamvi,habari, nina LCD TV ya Sony Bravia inchi 40,na nina tumia Deki ya Panasonic DMP-BDT 110, nimeunga Deki na TV kwa HDMI cable shida yangu nataka nipate muvi zilizo clear kwenye TV ,au...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakubwa, Mimi natafuta computer ya kueditia video jaman nimeweka dau la laki 3. ceck hivi vitu hapa:- 1. VGA card 2. Hard disk 250GB. 3. Ram 2GB 4. Intel Duo core processor 3.5Ghz 5. Desktop-Flat...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
cm ni mpya tu..ina apps kibao, OS ni DROID...headphone,charger unapewa..bei 350 tu..tuwasiliane 0657197186
0 Reactions
2 Replies
847 Views
Wakuu habari za Usiku... Ninatumia modem ya Vodacom ya kuwela line ya simu na nimeweka VODA BOMBA ya kulipia 30,000/= kwa mwezi tatizo tangu Ijumaa haitaki ku access website ya yahoo so siwezi ku...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau hizi simu za Nokia Asha series ni nzuri, ila nimegundua tatizo katika baadhi ya Application zake,mfano SOCIAL APPLICATION baada ya muda haifanyi kazi,inasema INVALID APPLICATION DELETE? Hata...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
my phone does indicate NO SIM MODE even if the sim is in the phone........... please how will i solve this problem
0 Reactions
1 Replies
925 Views
Katika tembea tembea yangu nikakutana na site hii http://piratenz.eu ni poa sana. Ni direct downloads. Wale wa proxy mnaweza itumia pia. Nimeijaribu iko poa. Hope na wengine mtaenjoy.
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Wadau nitajieni key za window server 2008 R1
0 Reactions
0 Replies
691 Views
Jamani wana jamvi poleni na majukumu ya kujenga taifa...Ninaomba kwa yeyote mwenye serial namba za ashampoo burning studio version 7 anipatie...Natanguliza shukrani.
0 Reactions
1 Replies
768 Views
Back
Top Bottom