Mwenye uelewa na hii ki2 anisaidie. kwenye pc yangu kuna kafile hua kanajitokeza asa kwenye desktop, hata sielewi kanatoka wapi. kijifile chenyewe hua ivi "desktop.ini" nkikafuta kanarudi. msaada
wAKUU LEO SIKU YA PILI SASA PD PROXY INANIGOMEA, KILA NIKICONNECT INAGANDA AUTHET.........SO SIJAELEWA KAMA TUMESHAPIGWA MWELEKA AU??
WAJUZI FUNGUKENI 2JUE.
Jamani niko dar kimara nimejaribu zile frequency za kupata itv, eatv na star, nimefanikiwa kuzipata lakin hakuna picha, je tatizo ni nini? Injinia tafadhali.
ninatumia nokia navigator.na ninatumia application ya opera mini ninapoenda youtube kuangalia video ninapo "click" kwenye video inaniambia "connection to server needed.connect?"niki connect...
Nataka ninunue modemu ya Airtel ila naomben kujuzwa utofauti uliopo(wa kiuwezo) kati zile Nyekundu kote na zile nyeupe zenye logo ya airtel nyekundu.Tusaidiane waungwana sitaki kuotea which is which
wadau kama hamtajali unaweza post eneo ulipo mtandao na speed unayopata ili kuwezesha watu kujua speed za mitandao mbali mbali sehemu tofauti.
Hii itasaidia mtu akitaka kuunga bundle ajue ipi...
Salaam wana jf,Naomba kufahamishwa tofauti iliyopo katika utumiaji kati ya computer za apple hususani mac pro na Computer nyingine Kama dell, sanding, lenovo, n.k nimeangalia specification nimeona...
kwa wale tuliokua tunateseka kupata email service kwenye blackberry...
email ikiingia itaku alert kama msg..
chakufanya tembelea hii website kwenye simu yako kisha itakupa option ya...
by Dr. Veronique Desaulniers
The truth is: you MUST protect your body from the barrage of electromagnetic field (EMF) pollution. Let me start of by telling you about an interesting experiment...
jamani kuna ujanja mwengine wa kudownload kutoka rapidshare kama premium ukiwachia tomtest na savefrom ambazo siku hizi zimekuwa slow kinyamaaa/
naomba mwenye nawo atugawiye
Jamani natumia NOKIA C1 na napenda kutumia Google maps niko Temeke Dar natumia mtandao wa Airtel but Google maps napo ifungua hanionesha Hata tanzania mwenye uelewa kidogo wa hatua za kupitia hadi...
Habari wakuu, Msaada katika hili.
Nna simu aina ya BB torch 9800. hii simu ninayo zaidi ya miezi mitano ila tatizo ni kwamba kila nnapokuwa nje kidogo ya mji simu inakata network, ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.