Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Helo, Naomba msaada tafadhali. Natafuta Hii cable kama inavyoonekana kwenye picha na matumizi yake. Je kwa hapo Dar es Salaam zinapatikana wapi na kwa sh. ngapi? Yeyote anayefahamu anijulishe...
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Habari wanajamvi...! Naombeni mnifahamishe kama kuna madhara yoyote yanayopatikana kwa ktk matumizi ya wireless earphone zinazotumia bluetooth.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Jamani deki gani ya dvd? Maana kuna hizi zingine zinanichanganya Singsung VS Singsang
0 Reactions
12 Replies
8K Views
Download Hii Tool inayoitwa Vistalizator bonyeza hapa Vistalizator kisha bonyeza tena hapa kuchagua ni lugha ipi unayoitaka kubadilisha hiyo Computer yako bonyeza hapa Vistalizator - change...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
respect great thnkers....jaman my pc ni mini laptop samsung, haina port ya cd, hvyo nimejarb kukopi kwenye flash, lakin inagoma kuinstal...sasa nauliza ni nn cha kufungua ktk list ya folders...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
I would like to launch my website as soon as possible, the website should be able to store visual information that can easily be accessed. Anyone with the ability to assist me kindly drop an...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
REQUEST FOR PUBLIC COMMENTS BY A TANZANIAN WEB STARTUP IN AFRICAN NEWS INNOVATION CHALLENGE Gushit is a Tanzanian based contents distribution and engagement startup operated by Jigambe...
2 Reactions
1 Replies
777 Views
habari wakuu? nimedownload na kuinstall hiyo software ktk pc yangu.sasa tatizo ni kwamba na add hizo torents vizuri ili ziweze kudownload.lkn inakuwa hairespond chochote ht kidogo.nini tatizo na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
please mwenye pc games naomba ziwe za action na car racing,mm ninazo igi 1&2,need for speed hotpursuit & most wanted na hitman
1 Reactions
38 Replies
3K Views
Habari wakuu,weekend inakwendaje pande zenu...Sasa wadau wa hili jukwaa naomba msaada wa ushauri wenu kweny hii blog yangu ya http://www.logozetu.blogspot.com/ Blog inahusu graphics designing kwa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kuna gari ninataka kuinunua ina engine imeandikwa D4, ila ni 3S, mafundi wananitaadharisha nisinunue, itanisumbua. Hawaweki wazi tatizo lake. Msaada kwa wanaoifahamu, je ina matatizo gani?
1 Reactions
24 Replies
14K Views
Habari wana jf hususan jukwaa hili la Science and Tech: Ni kwamba window screen yangu ime-turn into black na inatoa hii message: Windows 7 Build 7600 This copy of Windows is not genuine Je hili...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wakuu! Tafadhali naomba kuelimishwa jinsi ya kufungua na kusoma mafaili ya pdf kwa kutumia simu. Wataalam msaada tafadhali.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
:israel:Jaman kama kuna mtu yeyote anayeweza nisaidia jinsi ya kucustomize Joomla itakua mzuka kinoma yan am willing to pay kama yupo pande za dar
0 Reactions
3 Replies
825 Views
Mambo vp wanajf.. Aisee laptop yangu nikiiwasha inaload muda mrefu kwel hadi iwake inatumia kama dakika sita iv..so nilikua naomba msaada nifanyeje!?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Natafuta iDirect X3 Evolution modem kwa ajili ya KU-BAND VSAT Satellite internet connection. Mwenye kuwa nayo au kujua mtu anayeweza kuwa nazo tafadhali nijulishe asap. Very very urgent You...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi kama admin:A S-key: wa NOLNIZ nawakaribisha wooote katika blog hiyo :welcome: Ombi langu kwenu ni kwamba muwe huru kunitumia story yoyote ile yenye ukweli unayohitaji jamii iitambue na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
habari zenu wana jf, nina tatizo moja naomba mwenye utaalamu anisaidie. nina simu yangu nokia n96 niliinunua kitambo kidogo, sasa kila nikiwasha screen haiwaki zaidi ya kuonyesha mwanga mweupe tu...
0 Reactions
1 Replies
839 Views
Habarini wadau, napenda sana kufanya project ya kufanya cartoon animation ,idea yangu ni kuchukua visa vyote ambavyo tunavifahamu kuanzia tukiwa watoto na kufanya cartoon animation...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Shalom. Juzi umeme umezimika mara mbili tatu Desk Top ikiwa kwenye umeme. Kuanzia hapo mashine imekataa kuwaka. Nikibonyeza kwenye power button inawaka rangi ya orange badala ya kijani iliyokuwa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom