Wandugu, Habari,
Nina mpango wa kununua Receiver ya MPEG 4 HD hapa Dar Sasa nahitaji kujua yafuatayo:
1. Ni aina gani ni nzuri kwa ubora?
2. Bei yake ni sh. ngapi?
3. Naweza kupata wapi?
Mungu...
Ninajuliza hivyo tukiwa tunaekea bunge la bajeti wiki ijayo. Ni kwa nini RTD haisikiki online? Je ni gharama sana, hamna wataamu, uzembe au hamna maslahi ya kibiashara?
Wadau wa jukwaa hili hivi juzi rafik alikuja kwangu na kunieleza kuwa kompyuta yake inamletea ujumbe huu:
"windows is corrupt, run chkdsk".
Niliingia mtandaoni na kutafuta solution, nilikutana...
Ndugu zangu, nimejiwekea ka sh 450 kangu kwenye tigo ili nipate 50MB, dk 15 za maongezi na sms 100. Sasa nisaidiwe tafadhali najuaje salio kwa kila moja kati ya hizi huduma nikiwa nimetumia kwa...
This weekend...for all programmers and those loving Programming.
Do you love programming?
Do you see a problem in the community that you can solve using IT?
Then...
This is the event for...
Hello Tanzanian Software developers! After the successful Hackathons around Africa which saw some amazing applications built, there will be one in Dar Es Salaam too! Its being organized by the...
habari,je ukitaka kutengeneza system kama ya library management au hotel management system unafanyaje?natangliza shukrani,nauhitaji msaada wako kama unafahamu.asante
Nimejiunga na dstv siku si nyingi zilizopita. Napenda kufahamu ni aina gani nzuri ya high definition television yenye bei nafuu/nzuri hapa bongo. Hii ni kwa sababu nimekuwa nikitumia tv ya kwaida...
Guys naomba msaada, nna modem yangu nilikua naitumia ya voda kuna muda mrefu kdg ikaanza kunigomea, ukiichomeka hairespond, ikirespond salio huwezi kuweka yani balaa na kasheshe juu niko korogwe...
Habari yenu wanatechnolojia... naomba mtu aliyewai kutmia au anayetumia googleads anieleze ni kwa namna gani inalipa nataka nianze kuitumia.. Asanteni sana
Nimeona baadhi tablets kama HP Slate2 ambayo tayari in Windows 7. Je naweza kuinstall Windows kwenye tablet ambayo hainayo tangu awali?
Natanguliza shukurani kwa michango na misaada yenu.
hi guyz kunam2 kaniletea hyo cmu aina ya palm treos 750 ambayo inatumia huwa inatumia windows mobile lakn hii nmekua ina os ambayo co windows na cjui ni aina gani! Msaada nahtaji kupata maelezo on...
Nokia today expanded its Asha line of touch-enabled devices, with three new "smartphone-like" models.
The Nokia Asha 305, 306, and 311 expand the phone line, which was first introduced by Nokia...
Wadau nna mdogo wa shangaz yangu hapa anasoma huku shule flan sekondari frm 3 mara kadhaa akitoka shulen huwa analalamika eti mwlm wa physics ana gonga stiki kwa vpimo flan na fimbo yake ni...
The use of cyber weapons that target Iran - such as the recently discovered Flame virus - are "reasonable", a top Israeli minister has claimed.
The new malware, discovered by a Russian...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.