Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
wandugu naomba mwenye accounting packages yeyote naomba anisaidee hapa please na shida nayo kam huna cha kunisaidia naomba upite2 hata kama kuna site naweza kudownload unaweza nipa coz nimezunguka...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ni simu ipi nzuri kwa matumizi ya internet.. Balance yang n 350000.
0 Reactions
1 Replies
801 Views
Asubuhi ya leo nilijaribu kutembelea site ya DailyTech nikakutana na hili kati ya haya makampuni ya "Samsung" pamoja na "Apple" kuhusu products zao. Kuelewa zaidi juu ya hili fanya kubofya HAPA
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Just share with me how this fiber will have influence in economic growth of Tanzania
0 Reactions
2 Replies
841 Views
wadau nina dell 2.5ghz 70gb pentem 4 1.2 gb ram(ddr1) video 64mb nikicheza san andreas game linaganda ganda nnaomba ushaur kufix hii ishu?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
hey guys nnatumia join air nikisearch network kuna mtandao unaitwa tritel hivi huu ni mtandao wa wapi lkn zaman nikiweka lain ya voda huu mtandao ulikua unapiga mzigo with roaming activated lakin...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
habari zenu ndugu zangu wanajf! Samahani wanajf kwa yeyote mwenye ujuzi na haya masuala ya satelite dishes, receiver na decoder nilikuwa naomba anishauri ipi ni bora na inauwezo wa kuonesha local...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu natumia printer aina ya hp laserjet P1566. Kuanzia jana imegoma kufanya kazi kila nikitaka kuprint inaniletea hiyo sms..scanner error..wadau kabla sijapeleka kwa fundi naombeni msaada wenuu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
The internet isn't a safe environment, hackers are monitoring passwords, cookies and browsing activities, which is why users need all the protection they can get. Privacy ( security ) software has...
6 Reactions
25 Replies
6K Views
Step 1: Download a copy of Undela for your Windows computer or laptop. The install process is super quick so you can get started right away. Step 2: Open the app when the Installer is finished...
2 Reactions
0 Replies
917 Views
Za asubuhi wadau wa hapa ndani. Kwa mnaotumia line za voda kama mimi, naomba mnijuze bonus wanazotoa kwenye M_pesa na ile waliyotoa weekend inatumika saa ngapi? Sababu niko na bonus zote mbili...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
My Nokia N81 imeharibika display,inawaka but haioneshi kitu...naomba kumpata fundi mzuri anaeweza kunisaidia kwa bei poa jamani...nipo Dar...naimiss sana simu yangu kwa intanet nzuri...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Wandugu heshima mbele, Naomba mwenye ufahamu tufahamishane ni wapi nitapa dashboard application ya hii modem ya vodafone kwa maana ya kuidownload., if it exists at all. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wana-Jf. Keyboard ya laptop yangu inatatizo ambalo nimeshindwa kulirekebisha; aina ni Compaq. Keyboard yake ina vitufe vya namba ambavyo viko kwa mpangilio kama ule wa culculator kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
• ¼ shilingi kwa sekunde kuanzia saa 4 usiku hadi saa 1 asubuhi kutoka Vodacom kwenda Vodacom • Punguzo la SMS la 45% hadi Tsh. 25 kwa SMS kwenda mtandao wowote Tanzania. • Kurambaza mitandao ya...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
wadau nakwama, sometimes naagiziwa katika kusolve baadhi ya matatizo ya kimtandao naambiwa nicheki na tools za kwenye Fire fox, sasa nashindwa kujua nazipata wapi hiiyo option ya tools, msaada plz
0 Reactions
0 Replies
694 Views
Wadau kwenye ile icon ya volume pale chi kwenye icons nyingi nyigi, imewekewa ki "x" hvi, niki pint inaniambia,"The Audio Service is not running" naweza solve vipi hili tatizo wakuu?????????
0 Reactions
5 Replies
864 Views
Kwenye facebook page yangu, nilihama toka classic kwenda timeline page. Sasa hii timeline mimi sijaipenda, natamani nirudi huko nyuma, je nafanyeje?? naombeni msaada hapa wataalamu.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
My laptop installed with two operating systems: Windows 7 home basic and Ubuntu Linux 11.04 fails to restart. I tried to do the error check and get this message: the file or directory...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
jamani naomba frequency startv kwani siioni
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom