Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Jaman wana jf.. nilikuwa na modem ya zantel, wanahuduma nzuri tatizo ni kwamba ukiwa mtongani hupat network, ukiwa sanawari arusha vivyo hvyo.....sasa nimehamia airtel plz naombeni mnipe tips zao...
0 Reactions
2 Replies
794 Views
Naomba msaada wa kujuzwa simu gani nzuri na imara inayouzwa bei rahisi ambayo ina huduma ya internet.Tafadhari naomba msaada huo maana simu yangu imedondoka jana na kupasuka display hivyo sina...
0 Reactions
19 Replies
7K Views
Wakuu natumia sikmu ya HTC Inspire 4G na line ya tigo, nimeweza kuwa connected, napata facebook e mail etc. tatizo siwezi kubrowse internet inakataa nimejalibu google search wapi, wataalam...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
plz nataka kujua photo editor inayoweza ku'edit picha kwa kiasi kikubwa cha effects kama za kubadili viunga vya bin adamu n.k
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau mimi natumia nokia x2, na nimedownload operamini 6.5 ambayo ndio natumia kwenye intaneti sasa tatizo linakuja kwenye ku-upload picha ambapo net huwa ina-load bila mafanikio yoyote...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari za wasaa huu wanajamvi, mwenye kujua muda kati ya Tanzania na Holland naomba anijuze. Sababu sijui tumepishana kwa masaa mangapi.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Salaam nyingi kwenu wadau,, Naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia kupata audio ya free style alofanya godzila kutengenezea jingle ya tangazo la kipindi cha supaMix EA Radio cha Zembwela Na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
hebu wataalam wa haya mambo ya computer mnipe maujanja ya namna ya kufungua/kutumia computer bila kuifahamu user password
1 Reactions
33 Replies
12K Views
Eugene Polley, the inventor of the television remote control, has died at the age of 96. His original design, named the Zenith Flashmatic, was created in 1955 but it was not until the 1970s that...
0 Reactions
1 Replies
912 Views
Pc yangu ina tatizo la kuwa nzito kiasi kwamba nikiwa na copy data kutoka hapa kwenda pale na wakati huohuo nimeplay muziki,basi mziki utaanza kuimba kwa kuvutaa aka kukoroma.Tatizo ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu, ok kuna research flani hivi nafanya (ni kulingana na mishemishe zangu za kila siku ninazofanya) sasa imefika wakati inanibidi nijue mitandao yetu ya simu wanatumia modem (usb dongle)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakubwa, Naomba unlock code ya LG CU920 tafadhali. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna fundi wa madishi amenijulisha juu ya King'amuzi cha Abu Dhabi Sport. Ameniambia kuwa ni cha michezo tu na kupitia Abu Dhabi sports decorder nitapata hata ligi za soka za Amerika Kusini...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
e.tv imekuwa scrambled channel kwa muda sasa..nimesikia kuna watu wana unlocking keys zake kupitia viaccess1..plz mwenye unlocking keys zake au za channel yoyote atupie hapa!!!
0 Reactions
39 Replies
6K Views
Habari zenu wakuu, Napenda kiwatangazia kuwa najailbreak na kutoa loki iphones especially 3gs na iphone 4 hapo hapo na kwa bei nafuu! Pm me kwa hiyo service if you want
0 Reactions
0 Replies
894 Views
HELLO ALL YOU DONT HAVE TO PASTE your PIN HERE AND START WAITING JUST GO TO THE LINK BELOW AND ACTIVATE YOUR SELF:RepliGo Reader for BlackBerry Activation : Cerience Corporation From your...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wana Jf .... Hivi wakati nachat kwenye facebook, vipi naweza kumtumia mtu picha(photo attachment) na akaipata katika kibox cha kuchat? Thanx in advance
0 Reactions
0 Replies
9K Views
nmeona wameniandikia conection za WIFI NA VPN. SAsa vpn ni nini na inaungwa vp maana ina ulisa description sever account rsa secur id passworld af sever port so hv najazaje then na i...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimeangalia hii picha on IssaMichuzi na najiuliza, hapa kweli hapana maafa? Baadae isiwe ikawa ishu jamani!!!! http://1.bp.blogspot.com/-mlLgxBXy-48/T7uaFWil3WI/AAAAAAABbCg/eiTIbBvxzTU/s1600/4.jpg
0 Reactions
0 Replies
991 Views
kwa wakuu kwenye google talk id si mbaya mkangusha id zenu hapa tuweze kuwasiliana hususan mambo ya tech zaidi,nkianza na yangu mwenye masterg1990@gmail.com,NAWASILISHA!
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom