Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Jamani, naombeni msaada wakuu, ninayo software lakini sina namba yake ya siri. Kama kuna mtu anaweza nisaidia nitashukuru sana. Asanteni sana wana JF....
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani naomba msaada folders zangu zote kwenye external hard disk zimegeuka kuwa shortcut naomba msaada jinsi ya kuzitoa
0 Reactions
12 Replies
1K Views
computer yangu ukiwasha inaandika primary and secondary hard drive not found.nimejaribu kubadirisha hard disk hadi na nyaya zake lakini bado inaandika hivyo hivyo.msaada wenu wakuu
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Some of us (infact many) have been receiving DM from your friends or other tweeter accounts saying " ‘Someone’s Saying Bad Things About You’ Well here is the story behind:Hackers have managed...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za week end wakuu. Naomba msaada wenu juu ya namna ya kurekebisha tatizo hili kwenye simu yangu. Natumia Nokia 2730. Ninapoingia kwenye internet na kutaka ku-download kitu e.g. image...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Computer yangu ina siku 4 ukiburn cd inatoka yenyewe.Nikafika hatua ya kubadilisha Cd Empty ikagoma na pia nikanunua Dvd writter nyingine bado yale yale.Ikifeli ku burn inaadika ''Power...
0 Reactions
2 Replies
799 Views
Naomba kuuliza.nina kompyuta aina ya dell,monitor ni flat screen sasa kwenye hii monitor kuna USB port 3.je?naweza kutumia?kama ndio vipi?ntashukuru kwa watakao nifumbua.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
kila nikiadd code kwenye cas wakati wa kufanya application message inakuja imeandikwa ivi ERROR!!, INVALID ENTRY, MAKE SURE YOU ADD THE CORRECT PROGRAM CODE AS IT IS WRITTEN FROM THE GUIDE BOOK...
0 Reactions
1 Replies
850 Views
kuna software inakuwezesha kupata free internet ya basi la rangi ya kijani lakini two hours free. baada ya hapo inakubidi ulipie dola 3.0. malipo wanayokubali ni kutumia liberty reserve tu. kama...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Msaada tafadhali juu ya code itakayoniwezesha kuaccess NAM Programming menu kwenye simu za nokia hasa S60v3,nimegoogle sana mpaka basi bila mafanikio!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naombeni nisaidieni nina deckstop aina ya compon Imepoteza Sound gafla.. NAOMBA NISAIDIENI JINSI YA KURUDISHA Sound.
0 Reactions
2 Replies
723 Views
Jamani mimi nimekuwa nikitumia simu za kichina kwa muda mrefu sasa nimeamua kujivua gamba na kununua Blackberry! sielewi vitu hivi kwenye Blackberry-BB torch, BB curve, BB style, BB bold, BBM...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
habari wenu wanaJF, naombeni mnisaidie niweze kujua ni jinsi gani naweza kuconnect remotely computers zinazotumia windows7 ziweze kuwasiliana kwa kutumia internet...na pia mtu wa computer moja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
mbona cku hizi wana undergo renovation daily? wats wrng with theyr servers?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Tangu juzi speed ya kudownload imepungua sana...yaani hata movie moja ya MB 700 haijamaliza...au ndo mgema akisifiwa tembo hulitia maji?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakubwa mambo vipi? Natatizo la product key za window service pack 3
0 Reactions
1 Replies
841 Views
Wadau receiver aina ya media com imefuta channel zote na nkiwasha inaandika no channel nfanyaje?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana JF nauliza kuna mtu anazijua free pages kwenye mtandao naweza download picha za ukutani, nimejaribu kuperuzi nyingi ni za kulipia wakubwa
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Wana JF kuna mtu anajua links za free download picha za ukutani coz nyingi ni za kulipia wakubwa, nitashukuru mkinisaidia wana JF
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wakuu naombeni msaada kwa wale ambao wamewahi kutumia galaxy note na galaxy tab, nimekuwa nikitumia ipad 2, lakini kuna features nyingi ambazo nakuwa limited kuzipata including flash player...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Back
Top Bottom