Nipo huku mkoani Nilinunua lnb na decoder mwanzo viliungua na radi ila katika Channel ya TBC radio zipo mbili tu tbc fm na taifa clouds haipo je njia gani nitumie kuiadd hii clouds?
Jamani naomba kwa anayemjua au anayejua mtaalamu wa hizi device za touch screen nina ki Ideos ila jamaa alikimwagia maji eti screen ilichafuka sasa kuna sehemu ya screen hairespond (option batani...
mambo vp wadau samahan jaman kuna hii kitu waiita javascript yaaani kila wakati mnapoongelea mi huwa mnaniacha nyuma sana wakuu naombeni japo kwa leo mnieleweshe samani lakini kwa usumbufu lakini...
Jamani e,wataalamu wa kuchakachua free internet mpoo??...jamani nina laini yangu ya airtel sijawahi kuifanya chochote ila cha kushangaza toka mwezi wa kwanza internet yake ni bureee kabisa na...
Nahitaji kuweka hard disk mpya kwenye laptop Dell Latitude D600, natumia hii machine kwa matumizi madogo tu lakini speed ni muhimu hasa kwa games za watoto nk. Pia nataka kuongeza memory yake...
Samsung Electronics Co. (005930), Asias largest electronics maker, probably overtook Nokia Oyj (NOK1V) as the top handset seller for the first time, helped by the popularity of the Galaxy...
natumia camera aina ya benq, memory card ya 8gb. Nikiitumia inanijibu card error nifanyeje wataalamu? Nikiiformat window haikamilishi, nkiiangalia kwenye kompyuta inaonesha iko full wakati haina...
Dell Latitude D620 for sell.↲↲D620 in mint condition.
2GB DDR2 Ram
1.8 Ghz Dual Core Intel processor
120 GB HD
DUAL WiFi Card
Price 320,000/=
Intrested call me at 0712177420
samahani wakubwa naomba nipate japo ujuzi na utaalamu wanaotumia hawa watu wanaoibia benki mbalimbali hapa nchini wanatumia njia gani maana naona hata benki zipo kimya zinaogopa hao watu,
If you wish to have a professional shared hosting quality in a free hosting package, come and host with 000webhost.com and experience the best service you can get absolutely free.
CREATE AN...
nataka kufanya picture itembee kama akina paka mweusi mtazamaji nk
ebu tazama avatar ya huyu paka mweusi
https://www.jamiiforums.com/jamii-photos/233633-uchokozi.html
Nahitaji msaada kwa mwenye ujuzi wa namna ya kuconfigure huduma ya push to talk kwenye simu ya nokia, au confuguration settings .endapo kama huduma hii inapatikana hapa tanzania.
habari zenu wanaJF,
ninatumia nokia 5235. Katika kujaribu kwangu kupata baadhi ya application ambazo ninangeweza kuzitumia kwenye simu yangu na ni fullversion(cracked applications) naona kwenye...
Kwanini kwenye simu nyingi za kichina kunakua na web browser ila ukijaribu ku-connect internet inagoma!?
Kuna mwenye settings za internet kwenye simu za kichina!?
jamani naamini teknolojia inakua siku hadi siku...........Mi nataka kujua kama kunauwezekano wa kutumia computer yangu kuwa narusha hela kwenye m-pesa, air tel mone na tigo pesa. kuliko kuendelea...
Hii album mpya ya UTAMU WA YESU nimeiingiza katika laptop ili niweze kuicopy lakini haionekani kabisa wakati ninayo DVD room.nimemuuliza na mwenzangu akasema hivyo.nafikiri wamefanya hivyo ili...
msaada jaman juu ya keyboard, nna computer motherboard yake haina tundu za ps2 inamana uta2mia usb pekeake. Shida ilopo ukiwa unawasha computer keyboard inafail n u cant access to bios people what...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.